Master C mimd
Member
- Sep 26, 2019
- 46
- 55
Wakuu naomba kufahamu kitu kimoja kwa anaye jua, hiviusajili wa hizi plate number ukoje?
Mfano unaweza nunua gari ukaifanyia usajili safi kabisa ukapewa mfano DPT then ukiingia barabarani unakuta plate number zinasoma DST huko, hili swala limekaeje?
Mfano unaweza nunua gari ukaifanyia usajili safi kabisa ukapewa mfano DPT then ukiingia barabarani unakuta plate number zinasoma DST huko, hili swala limekaeje?