zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Wakikata tamaa hizo ARV za bure mtatoa wapi? Si mtapukutika kma kuku.Itafika muda hata wanasayansi watakata tamaa
Kuleta ujuaji na kejeli wakati hata paracetamol hamuwezi tengeneza!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakikata tamaa hizo ARV za bure mtatoa wapi? Si mtapukutika kma kuku.Itafika muda hata wanasayansi watakata tamaa
Hamna kitu huu ni ugonjwa wa kisiasa zaidiJana tarehe 7.4.2021,Radio DW iliutangazia ulimwengu kwamba Ujerumani imepata maambukizi mapya ya Corona kwa kiwango kikubwa sana na wanajiandaa kusitisha baadhi ya shughuli ili kujikinga na maambukizi.
Kutokana na taarifa hiyo, naomba mnisaidie kujibu maswali haya:
(1)Je, Ujerumani haijapata chanjo ya Corona?
(2) Kama wamepata chanjo, kwa nini maambukizi yanazidi kuongezeka?
(3) Kama hawajapata chanjo, kwa nini hawajapata?
Ahsante, ndugu zanguni.