#COVID19 Naomba ufafanuzi kutokana na hali ya Covid 19 nchini Ujerumani

Itafika muda hata wanasayansi watakata tamaa
Wakikata tamaa hizo ARV za bure mtatoa wapi? Si mtapukutika kma kuku.

Kuleta ujuaji na kejeli wakati hata paracetamol hamuwezi tengeneza!!
 
Hamna kitu huu ni ugonjwa wa kisiasa zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…