Naomba ufafanuzi kwa anayetumia majiko haya ya induction je yanafaa kwa uchumi wa kitanzania

Zile pipes zinakaba sana hazivujishi
pakiwa na watoto ni balaa ...Kuna majiko mapya karibu na oven ya umeme kuna sehemu ya kuwekea mtungi yapo safi sana ni aina mpya.
 
Consumption yake ya kawaida sana japo mi natumia model ya zamani kidogo hizi za sasa sijajua maana zinaboreshwa zaidi. Pia ni jiko salama kabisa hata uliacha on linajizima na haliunguzi kitu chochote ukiweka juu tofauti na sufuria yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…