Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta hela ndugu. Vinginevyo wakati wako WA kumiliki gari ulikua badoHabari za muda huu! naomba kujuzwa namma ya kuiset dashboard iniandikie kiasi Cha mafuta kinachotumika,gari ni MARK X Ya mwaka 2007.
Samahani Kwa uandishi wangu mbovu.
Huko kwenu mbona nafuu sana, Arusha ni 3330/LKwa mentality hii ulio nayo utatoboa december kweli na hiyo gari maana hii ni June na ubao unasoma 3214/L na unatembelea JINI
Si ufanye tu mwenyewe manually?fanya hivi siku ukienda petrol station weka full tank note lita ulizoweka na km zilizoko kwenye odometer mafuta yakiisha chukua kilometer ulizotembea baada ya mafuta kuisha gawa na lita za mafuta ulizoweka ijbu utakalopata ndio kilometer unazotembea per liter.Nadhani sijakosea wataalamHabari za muda huu! naomba kujuzwa namma ya kuiset dashboard iniandikie kiasi Cha mafuta kinachotumika,gari ni MARK X Ya mwaka 2007.
Samahani Kwa uandishi wangu mbovu.
Hawezi mpaka tuje tumbadirishie ataweka uzi JF kwamba amepata pancha anataka tukambadirishie tairiKwa uandishi huu ukipata pancha unaweza kubadilisha tairi kweli?
JINI gani tena anatembelea na amesema anatembelea Gari ni Mark X au Mimi sijaelewa mnatupiana Majini mpaka JF au namna gani hii?Kwa mentality hii ulio nayo utatoboa december kweli na hiyo gari maana hii ni June na ubao unasoma 3214/L na unatembelea JINI
Singida 3347 Tajiri😀😀Huko kwenu mbona nafuu sana, Arusha ni 3330/L
Watu wamekosa majibu wanabaki kutoa kashfa tu.Habari za muda huu! naomba kujuzwa namma ya kuiset dashboard iniandikie kiasi Cha mafuta kinachotumika,gari ni MARK X Ya mwaka 2007.
Samahani Kwa uandishi wangu mbovu.
Pamoja sana. Izo button zipo kushoto kwake.Watu wamekosa majibu wanabaki kutoa kashfa tu.
Bonyeza button imeandikwa DISPLAY hapo kwenye STEERING WHEEL. Ukibonyeza mara moja itafuta , bonyeza tena itaonesha TEMPERATURE,bonyeza tena itaobesha RANGE yaani MAFUTA YALIYOPO YATAENDA KM NGAPI,bonyeza tena itaonesha AVERAGE FUEL CONSUMPTION, ukibenyeza tena itaonesha FUEL CONSUMPTION WAKATI UNAENDESHA hii huwa inabadilika kutokana na unavyoendesha na hali ya barabara mlima au mteremk etc.
Nilidhani unasema gari ni la mwaka 2017 nikushauri kuwa ulitakiwa uwe na la mwaka angalau 2022! Hilo la 2007, ni hatari ya dangerHabari za muda huu! naomba kujuzwa namma ya kuiset dashboard iniandikie kiasi Cha mafuta kinachotumika,gari ni MARK X Ya mwaka 2007.
Samahani Kwa uandishi wangu mbovu.
Shukran sana mkuu kwa kumpa majibu muuliza swali bila dharau, vijembe, masimango.Watu wamekosa majibu wanabaki kutoa kashfa tu.
Bonyeza button imeandikwa DISPLAY hapo kwenye STEERING WHEEL. Ukibonyeza mara moja itafuta , bonyeza tena itaonesha TEMPERATURE,bonyeza tena itaobesha RANGE yaani MAFUTA YALIYOPO YATAENDA KM NGAPI,bonyeza tena itaonesha AVERAGE FUEL CONSUMPTION, ukibenyeza tena itaonesha FUEL CONSUMPTION WAKATI UNAENDESHA hii huwa inabadilika kutokana na unavyoendesha na hali ya barabara mlima au mteremk etc.
Hatari ya danger?Nilidhani unasema gari ni la mwaka 2017 nikushauri kuwa ulitakiwa uwe na la mwaka angalau 2022! Hilo la 2007, ni hatari ya danger