Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Bila mbwembwe na mikogo mingi imeenda sawa hii bonyeza hio button sasa ipo kushoto kwakoShukran sana mkuu kwa kumpa majibu muuliza swali bila dharau, vijembe, masimango.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila mbwembwe na mikogo mingi imeenda sawa hii bonyeza hio button sasa ipo kushoto kwakoShukran sana mkuu kwa kumpa majibu muuliza swali bila dharau, vijembe, masimango.
Uko vzr sana mwambaWatu wamekosa majibu wanabaki kutoa kashfa tu.
Bonyeza button imeandikwa DISPLAY hapo kwenye STEERING WHEEL. Ukibonyeza mara moja itafuta , bonyeza tena itaonesha TEMPERATURE,bonyeza tena itaobesha RANGE yaani MAFUTA YALIYOPO YATAENDA KM NGAPI,bonyeza tena itaonesha AVERAGE FUEL CONSUMPTION, ukibenyeza tena itaonesha FUEL CONSUMPTION WAKATI UNAENDESHA hii huwa inabadilika kutokana na unavyoendesha na hali ya barabara mlima au mteremk etc.
Sasa yuko dar na anatoa milio anataka kulichakachua gari lisile mafutaHuko kwenu mbona nafuu sana, Arusha ni 3330/L
Wabongo sijui mnajikutaga wakina nani.Tafuta hela ndugu. Vinginevyo wakati wako WA kumiliki gari ulikua bado
Mtu unawaza, pesa ya mafuta mzozo. Unakumbuka JF seriously?Wabongo sijui mnajikutaga wakina nani.
Eti mda wako wa kumiliki gari ulikuwa bado usenge na wivu tu.
Hahahaha 🤣 🤣Hawezi mpaka tuje tumbadirishie ataweka uzi JF kwamba amepata pancha anataka tukambadirishie tairi
Tumekusaidia Mkuu acha kuponda sasa hujui humu kuna vijana wa kutoka maeneo tofautiNashukuru Kwa majibu brother yaani watu wamenishambulia cjui mafuta cjui tafuta Hela cjui Nini bila hata kujua uhalisia ukoje duh jamii forum ya siku hizi ni hovyo sana tofauti na mwanzo
Ukinunua nyingine hiyo niachie mimiAfadhal mm ford ranger (wild truck) yangu haina shida kabisa kila kitu kipo kwenye dashboard, ni mm kuangalia tu,
au nadanganya ephen_? siku ile nimekupa lift si ulijionea mwenyewe?
ukisoma koment ndo utajua jf ni nyoko.
ford range haipendez kwa ke, imekaa kime zaid,Ukinunua nyingine hiyo niachie mimi
Tajiri yangu huyooo...!🤸ford range haipendez kwa ke, imekaa kime zaid,
we nitakununulia harrier trako la nyani
Afadhal mm ford ranger (wild truck) yangu haina shida kabisa kila kitu kipo kwenye dashboard, ni mm kuangalia tu,
au nadanganya ephen_? siku ile nimekupa lift si ulijionea mwenyewe?
ukisoma koment ndo utajua jf ni nyoko.
Ni Ford Ranger Wildtrak.ford range haipendez kwa ke, imekaa kime zaid,
we nitakununulia harrier trako la nyani
Atulie tuSasa yuko dar na anatoa milio anataka kulichakachua gari lisile mafuta
Nouma sanaSingida 3347 Tajiri😀😀
Habari za muda huu! naomba kujuzwa namma ya kuiset dashboard iniandikie kiasi Cha mafuta kinachotumika,gari ni MARK X Ya mwaka 2007.
Samahani Kwa uandishi wangu mbovu.
Ni kwel mkuu nilikuwa sijaangalia vzuri, unajua chuma bado kipya kabisa hk ndo kina km 12k tu.Ni Ford Ranger Wildtrak.