Naomba ufafanuzi taasisi ya elimu (Chuo) kutoa gawio kwa Serikali

Naomba ufafanuzi taasisi ya elimu (Chuo) kutoa gawio kwa Serikali

Bora watoe na chuo kisiboroshwe kuliko wasitoe na chuo kisiboreshwa. Bora watoe halafu zirudishwe tena kwao. Wasipotoa nyingi zitaishia kwenye mifuko ya watu, lakini wakiziweka hadharani watu wakajua angalau kutakuwa na woga kwenye matumizi ya hovyo hovyo.
kwani kuna aliyesema kuwa chuo hakiboreshwi,
 
Kwa hiyo wataka nambia kati ya vitambulishi walivyotoa. Vimepotea zaidi ya vitambulisho 100000 laki 1?
Mkuu Akishauri Ni Amri Bwana Mwenyekiti Huelewi
😂😁😀😀🤣😃😅😅😅
 
Hello Bosses,

Nimeshtushwa na hili. Je, ni halali kwa taasisi ya elimu kuwa chanzo cha mapato kwa serikali?

Nimeshtuka kuona IFM kutoa gawio karibia billion 2, juzi hapa nimemlipia dogo ada 1,800,000+, ada tu bila hostel hela ya kula na kujikimu.

Tumefika mbali sana hadi elimu ni chanzo cha mapato, kwa wanaojua naomba ufafanuzi juu ya hili.
Inawezekana.
Kwa kupunguza gharama za uendeshaji na kubuni miradi /huduma zenye kuleta tija.
Kwa mfano Taasisi za elimu zinaweza kuingia mikataba ya wakufunzi wake kufundisha kwingine,huduma za ushauri na machapisho/vitabu.
Ukodishaji wa kumbi za mikutano,makusanyo ya tozo mbalimbali kwa mfano,parking za magari n.k
 
Hii ndiyo comedy kubwa lao. Wanashindwa kutengeneza Vitambulisho vingi na haraka kwa ukosefu wa fedha. Leo wanatoa gawio.
Nimeche ka bila kupenda....Mbona unajifanya kujua sana? Wengine wamekaa kimya wewe unakuwa kama yule mtoto mkorofi...
 
Nimeona Chuo cha fedha IFM ikiwemo katika mashirika ya umma yaliyotoa gawio/mchango kwa serikali. Wangetoa billion 2.

Vyuo vyote vya umna vina matatizo sugu ya upungufu wa vitendea kazi. Vimekuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo wake.

Hizo ni taasisi za umma zenye kutoa huduma na kimsingi hawafanyi biashara. Ndiyo maana wanapata ruzuku toka serikalini.

Sasa nashangaa uwezo huo wa kutoa gawio/mchango wameupata wapi. Hata kama wanaingiza fedha kwa kufanya consultancy, kwa nini wasitumie fedha hizo kutatua baadhi ya changamoto walizonazo?

Tena kwa maneno ya Rais, wamevichongea vyuo vingine. Sitashangaa kuona UDSM, UDOM, ARU nao wanatoa gawio ingawa wanashindwa kuendeleza vyuo hivyo kwa ukosefu wa fedha. Lengo limekuwa kumfurahisha Jiwe.

TTCL kinara wa kutoa gawio sijawasikia mwaka huu. Mwaka jana walitoa Billion 2 lakini wakaomba Trillion moja!
Wametoa bil 2 wakaomba Tril 1. Hahahaa hii kiboko.
 
Nimeona Chuo cha fedha IFM ikiwemo katika mashirika ya umma yaliyotoa gawio/mchango kwa serikali. Wangetoa billion 2.

Vyuo vyote vya umna vina matatizo sugu ya upungufu wa vitendea kazi. Vimekuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo wake.

Hizo ni taasisi za umma zenye kutoa huduma na kimsingi hawafanyi biashara. Ndiyo maana wanapata ruzuku toka serikalini.

Sasa nashangaa uwezo huo wa kutoa gawio/mchango wameupata wapi. Hata kama wanaingiza fedha kwa kufanya consultancy, kwa nini wasitumie fedha hizo kutatua baadhi ya changamoto walizonazo?

Tena kwa maneno ya Rais, wamevichongea vyuo vingine. Sitashangaa kuona UDSM, UDOM, ARU nao wanatoa gawio ingawa wanashindwa kuendeleza vyuo hivyo kwa ukosefu wa fedha. Lengo limekuwa kumfurahisha Jiwe.

TTCL kinara wa kutoa gawio sijawasikia mwaka huu. Mwaka jana walitoa Billion 2 lakini wakaomba Trillion moja!
"THINGS FALL APART"
 
Nimeona Chuo cha fedha IFM ikiwemo katika mashirika ya umma yaliyotoa gawio/mchango kwa serikali. Wangetoa billion 2.

Vyuo vyote vya umna vina matatizo sugu ya upungufu wa vitendea kazi. Vimekuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo wake.

Hizo ni taasisi za umma zenye kutoa huduma na kimsingi hawafanyi biashara. Ndiyo maana wanapata ruzuku toka serikalini.

Sasa nashangaa uwezo huo wa kutoa gawio/mchango wameupata wapi. Hata kama wanaingiza fedha kwa kufanya consultancy, kwa nini wasitumie fedha hizo kutatua baadhi ya changamoto walizonazo?

Tena kwa maneno ya Rais, wamevichongea vyuo vingine. Sitashangaa kuona UDSM, UDOM, ARU nao wanatoa gawio ingawa wanashindwa kuendeleza vyuo hivyo kwa ukosefu wa fedha. Lengo limekuwa kumfurahisha Jiwe.

TTCL kinara wa kutoa gawio sijawasikia mwaka huu. Mwaka jana walitoa Billion 2 lakini wakaomba Trillion moja!

Haya mashirika yanakufa!

Mkuu

Yatakufa kifo kabisa!

Au wanafanya mchezo wa kipumbavu wa kutoa gawio 2Bilion halafu January wanachukua 40Bilioni hazina

Ni upumbavu!

Huyu jamaa aisee!

Michezo ya kitoto sana halafu anadhani anamsaidia nani?
 
Suala la gawio mbona ni kawaida tu labda tu kwa sabb hatuna Elimu ya kutosha lakini kama taasisi inajiendesha yenyewe wakati huo serikali imeweka hisa zake pia(ina sehemu ya umiliki) lazima wakati wa faida wagawane
Ule utegemezi wa 100% wa taasisi za serikali kwa serikali siku hizi hiyo lelemama haipo kabisaa badala yake taasisi nyingi zinajiendesha zenyewe kwa kubuni miradi itakayotunisha mifuko yao mfano:- Parking nyingi hapo Dar zinamilikiwa na Tarura so pesa inayopatikana inafanya kazi na faida wanagawana na serika nk

Kimsingi niipongeze serikali na wakurugenzi wapya wa hizo taasisi kwa sbb tukienda mbali badala ya kodi ya mwananchi kuwa na mgawanyo mkubwa badala yake inaelekezwa kwenye miradi ya kimkakati na bado taasisi zinapiga kazi bila kuwa na utegemezi wa moja kwa moja kwa serikali
SERIKALI OYEE MAGUFULI OYEE
 
Hakuna taasisi isiyo na changamoto. Ww unadhani TPA hawana shida na upanuzi wa bandari, au unafikir hawana madeni
Nimeona Chuo cha fedha IFM ikiwemo katika mashirika ya umma yaliyotoa gawio/mchango kwa serikali. Wangetoa billion 2.

Vyuo vyote vya umna vina matatizo sugu ya upungufu wa vitendea kazi. Vimekuwa na wanafunzi wengi kupita uwezo wake.

Hizo ni taasisi za umma zenye kutoa huduma na kimsingi hawafanyi biashara. Ndiyo maana wanapata ruzuku toka serikalini.

Sasa nashangaa uwezo huo wa kutoa gawio/mchango wameupata wapi. Hata kama wanaingiza fedha kwa kufanya consultancy, kwa nini wasitumie fedha hizo kutatua baadhi ya changamoto walizonazo?

Tena kwa maneno ya Rais, wamevichongea vyuo vingine. Sitashangaa kuona UDSM, UDOM, ARU nao wanatoa gawio ingawa wanashindwa kuendeleza vyuo hivyo kwa ukosefu wa fedha. Lengo limekuwa kumfurahisha Jiwe.

TTCL kinara wa kutoa gawio sijawasikia mwaka huu. Mwaka jana walitoa Billion 2 lakini wakaomba Trillion moja!
 
Back
Top Bottom