Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UKishaamua kwamba kwa ujumla nchi fulani ni bebebru anatunyonya, utamsifiaje kuwa mfadhiri na mhisani kwa upande mwingine? Na hivi nchi inawezwa kulazimishwa kunyonywa? Kama tunaona wanatunyonya basi tukate uhusiano nao kabisa!Kama ccm huwa wanatumia neno mabeberu kumaanisha wale wanaoinyonya nchi yetu basi itoshe kusema
Ccm inaongoza kwa kuwa na mabeberu wengi wanaoinyonya nchi yetu tena kwa mabavu na kwa sheria za kinyonyaji.
Hao magu anaowaita mabeberu ndio anamtuma Kabudi kila siku kwenda kuwaomba fedha na kusamehewa madeni.Hivi karibuni hili neno limekuwa likitumika kila wakati, na kuna wakati namsikia hata Raisi Magufuli akilitumia - mabeberu. Nimeona kuwa wakati fulani hata vyama vya upinzani wakiambiwa ni marafiki wa mabeberu.
Wakati fulani nimeona kwamba neno mabeberu linaelekezwa kwa mataifa tajiri ya nje. Lakini ajabu watu walewale wanayoyaita mataifa hayo mabeberu wamekuwa pia wakiyaita nchi wahisani, wafadhiri, marafiki nk.
Hivyo nimejiuliza sana - mabeberu maana yake nchi wahisani au wafadhiri au nchi rafiki kutegemea unaongea na nani?
NImejiuliza pia ikiwa nano mabeberu linatumika tu katika unafiki wa kisiasa, kama vile jirani yako akiwapo unamwita rafiki, lakini pale asipokuwapo unawita mshenzi.
Hivyo badala ya mie kuumiza kichwa kujua hasa mabebebu ni nani, nineomba wale wanaolitumia neno hili, wengi wakiwa wafuasi na viongozi wa CCM, watupe ufafanuzi mabeberu hasa ni kina nani. Je bebeu ndio huyo huyo mfadhiri au mhisani?
Hao Wanaowaita wazungu mabeberu ndio wanyonyaji wakubwa wa watanzania kuwazidi hata hao wazungu.UKishaamua kwamba kwa ujumla nchi fulani ni bebebru anatunyonya, utamsifiaje kuwa mfadhiri na mhisani kwa upande mwingine? Na hivi nchi inawezwa kulazimishwa kunyonywa? Kama tunaona wanatunyonya basi tukate uhusiano nao kabisa!
Wapo hoi, now wanadakia vitu vya ajabu kabisa. Mkiti wao ameanza hadi kula mahindi barabarani na kuongea vitu havieleweki.Hawatakujibu Lissu anawavua nguo huko!!! Hawana hali sasaivi.
Hahahah. Ni hatari. Usicheze na Tundu Antipas Lissu jombaaWapo hoi, now wanadakia vitu vya ajabu kabisa. Mkiti wao ameanza hadi kula mahindi barabarani na kuongea vitu havieleweki.
Kwa kweli ni kukosa busara na hekima ya uongozi. Unajua Magufuli anataka kujifanya Nyerere kwa kuleta lugha hii karne hii. Hii lugha ilikuwa ya enzi zile za Nyerere, haifit katika ulimwengu wa leo. Na zaidi Nyerere alijua sana wapi panafaa kutumia hili neno, siyo kama rejareja za Magufuli au CCM - wanalitumia kama neno la jumla kumaanisha mataifa ya nje. Eti Chadema nendeni kwa marafiki zenu mabeberu - walewale ambao CCM inawaita wafadhiri!Hao magu anaowaita mabeberu ndio anamtuma Kabudi kila siku kwenda kuwaomba fedha na kusamehewa madeni.
Mabeberu ni wale waliokopesha awamu ya tano matrilioni kujenga miradi ya hovyohovyoHivi karibuni hili neno limekuwa likitumika kila wakati, na kuna wakati namsikia hata Raisi Magufuli akilitumia - mabeberu. Nimeona kuwa wakati fulani hata vyama vya upinzani wakiambiwa ni marafiki wa mabeberu.
Wakati fulani nimeona kwamba neno mabeberu linaelekezwa kwa mataifa tajiri ya nje. Lakini ajabu watu walewale wanayoyaita mataifa hayo mabeberu wamekuwa pia wakiyaita nchi wahisani, wafadhiri, marafiki nk.
Hivyo nimejiuliza sana - mabeberu maana yake nchi wahisani au wafadhiri au nchi rafiki kutegemea unaongea na nani?
NImejiuliza pia ikiwa nano mabeberu linatumika tu katika unafiki wa kisiasa, kama vile jirani yako akiwapo unamwita rafiki, lakini pale asipokuwapo unawita mshenzi.
Hivyo badala ya mie kuumiza kichwa kujua hasa mabebebu ni nani, nineomba wale wanaolitumia neno hili, wengi wakiwa wafuasi na viongozi wa CCM, watupe ufafanuzi mabeberu hasa ni kina nani. Je bebeu ndio huyo huyo mfadhiri au mhisani?
tangu mwalimu JKN atutoke (RIP mzee wetu), tumepoteza mwelekeo wa hata tunachokipigania kwenye chama chetu.Nilitarajia watu wa Lumumba kunisaidia kwa hili haraka, kama wanavyojitokeza haraka kwenye thread nyingine ukitaja neno CCM. Vipi, hii imekuwa ngumu kumeza?
Hichi ni kipimo namna gani akili yako imejaa kinyesi.Kuna mtu hapo juu amesema ikiwa mnawaita hawa jamaa mabebaeru basi nyie ni mbuzi majike, kuna kitu wanawafanyia ndio maana mnawaita wahisani.
Sio mimi MKuu nafikisha ujumbeHichi ni kipimo namna gani akili yako imejaa kinyesi.
Wa shoga mwenzio aliyetolewa kinyesi na mabeberu.Sio mimi MKuu nafikisha ujumbe
Mabeberu ni wazungu au watu wowote wanaotukosoa, lakini watu hao hao wakitupongeza ( low middle income country kwa mfano) hao siyo mabeberu. Ila wakitusoa kwa mfano wakisema hatufuati democrasia hapo wanaitwa mabeberu, wakitupongeza kwamba tumejenga daraja na kupambana na ufisadi kibao kinageuzwa, hapo siyo mabeberu ni wahisani.Hivi karibuni hili neno limekuwa likitumika kila wakati, na kuna wakati namsikia hata Raisi Magufuli akilitumia - mabeberu. Nimeona kuwa wakati fulani hata vyama vya upinzani wakiambiwa ni marafiki wa mabeberu.
Wakati fulani nimeona kwamba neno mabeberu linaelekezwa kwa mataifa tajiri ya nje. Lakini ajabu watu walewale wanayoyaita mataifa hayo mabeberu wamekuwa pia wakiyaita nchi wahisani, wafadhiri, marafiki nk.
Hivyo nimejiuliza sana - mabeberu maana yake nchi wahisani au wafadhiri au nchi rafiki kutegemea unaongea na nani?
NImejiuliza pia ikiwa nano mabeberu linatumika tu katika unafiki wa kisiasa, kama vile jirani yako akiwapo unamwita rafiki, lakini pale asipokuwapo unawita mshenzi.
Hivyo badala ya mie kuumiza kichwa kujua hasa mabebebu ni nani, nineomba wale wanaolitumia neno hili, wengi wakiwa wafuasi na viongozi wa CCM, watupe ufafanuzi mabeberu hasa ni kina nani. Je bebeu ndio huyo huyo mfadhiri au mhisani?
Hivi karibuni hili neno limekuwa likitumika kila wakati, na kuna wakati namsikia hata Raisi Magufuli akilitumia - mabeberu. Nimeona kuwa wakati fulani hata vyama vya upinzani wakiambiwa ni marafiki wa mabeberu.
Wakati fulani nimeona kwamba neno mabeberu linaelekezwa kwa mataifa tajiri ya nje. Lakini ajabu watu walewale wanayoyaita mataifa hayo mabeberu wamekuwa pia wakiyaita nchi wahisani, wafadhiri, marafiki nk.
Hivyo nimejiuliza sana - mabeberu maana yake nchi wahisani au wafadhiri au nchi rafiki kutegemea unaongea na nani?
NImejiuliza pia ikiwa nano mabeberu linatumika tu katika unafiki wa kisiasa, kama vile jirani yako akiwapo unamwita rafiki, lakini pale asipokuwapo unawita mshenzi.
Hivyo badala ya mie kuumiza kichwa kujua hasa mabebebu ni nani, nineomba wale wanaolitumia neno hili, wengi wakiwa wafuasi na viongozi wa CCM, watupe ufafanuzi mabeberu hasa ni kina nani. Je bebeu ndio huyo huyo mfadhiri au mhisani?
Beberu ni mtu yeyote-mweupe :-Hivi karibuni hili neno limekuwa likitumika kila wakati, na kuna wakati namsikia hata Raisi Magufuli akilitumia - mabeberu. Nimeona kuwa wakati fulani hata vyama vya upinzani wakiambiwa ni marafiki wa mabeberu.
Wakati fulani nimeona kwamba neno mabeberu linaelekezwa kwa mataifa tajiri ya nje. Lakini ajabu watu walewale wanayoyaita mataifa hayo mabeberu wamekuwa pia wakiyaita nchi wahisani, wafadhiri, marafiki nk.
Hivyo nimejiuliza sana - mabeberu maana yake nchi wahisani au wafadhiri au nchi rafiki kutegemea unaongea na nani?
NImejiuliza pia ikiwa nano mabeberu linatumika tu katika unafiki wa kisiasa, kama vile jirani yako akiwapo unamwita rafiki, lakini pale asipokuwapo unawita mshenzi.
Hivyo badala ya mie kuumiza kichwa kujua hasa mabebebu ni nani, nineomba wale wanaolitumia neno hili, wengi wakiwa wafuasi na viongozi wa CCM, watupe ufafanuzi mabeberu hasa ni kina nani. Je bebeu ndio huyo huyo mfadhiri au mhisani?