miss mwanjelwa
Member
- Sep 4, 2016
- 62
- 42
habarini za jioni!
naomba ufafanuzi wa matumizi ya dawa za neurobine na multivitamins kwa mtu mzima na mama anayenyonyesha. prescriptions za daktari zimenichanganya mana aliniambia aliconiambia kwa mdomo tofauti na alichoandika, mfano neurobine aliniambia nitumie 1 mara 2, wakati kwenye dawa ameandika 2 mara 2, na multivitamins ameniandikia 2 mara 2.
naombeni msaada wenu.
naomba ufafanuzi wa matumizi ya dawa za neurobine na multivitamins kwa mtu mzima na mama anayenyonyesha. prescriptions za daktari zimenichanganya mana aliniambia aliconiambia kwa mdomo tofauti na alichoandika, mfano neurobine aliniambia nitumie 1 mara 2, wakati kwenye dawa ameandika 2 mara 2, na multivitamins ameniandikia 2 mara 2.
naombeni msaada wenu.