Altezza imekaa kihuni sanaHizo gari hazina shida kivile isipokuwa haya Magari hayana matoleo mapya nahisi tangia mwaka 2003 ndiyo mwisho na baada ya hapo Toyota waliacha kutengeneza...
Pia alteza zilinunuliwa na vijana Tu na ndio haohao wanauza Kwa bei ya kutupa ili kununua Magari ya kisasa zaidi, sikuhizi vijana wapo Kwenye subaru impreza
Ilikuwa ni brand iliyojaribu kuiga race sports cars lakini ikafeli vibaya hasa kwenye consumption ya mafuta na comfortabilityHabari zenu wana JamiiForums,
Nimejikuta nashindwa kuamua kwani mimi nilikua na mpango wa kununua Altezza, lakini najikuta nashindwa kwa sababu ukijarbu kufatilia resale ya hzo gari inakua ni chini sana.
Sasa najiulza hizo gari zinakua na shida gani haswa mpaka znauzwa bei ya chini hivyoo. Kingine, kama kuna gari tofauti na hilo nipeni ushauri na sifa zake ninunue.
View attachment 1468446
Na forester XTHizo gari hazina shida kivile isipokuwa haya Magari hayana matoleo mapya nahisi tangia mwaka 2003 ndiyo mwisho na baada ya hapo Toyota waliacha kutengeneza...
Pia alteza zilinunuliwa na vijana Tu na ndio haohao wanauza Kwa bei ya kutupa ili kununua Magari ya kisasa zaidi, sikuhizi vijana wapo Kwenye subaru impreza
Mnyama bomba sana huyoNimeichek BMW X3 bei SI mbaya. Tatizo finishing Yake imekaa kama Perege
BMW X3 bei sio mbaya? Finishing kama perege? Ngoja kwanza..Nimeichek BMW X3 bei SI mbaya. Tatizo finishing Yake imekaa kama Perege
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]BMW X3 bei sio mbaya? Finishing kama perege? Ngoja kwanza..
View attachment 1469599
Like Seriously
View attachment 1469600