Naomba ufafanuzi wa gari aina ya Toyota Rumion

Naomba ufafanuzi wa gari aina ya Toyota Rumion

myasis

Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
80
Reaction score
29
Nataka kununua toyota Rumion, naomba uzoefu wenu kwenye hii gari.

1613361879864.png

Toyota Rumion
 
Rangi nyeusi huwa haitunzi gari wala kufanya service sahihi kwa wakati halafu utakuta inaulizia fuel economy.

Unalewa kuwa fuel economy ni function ya kuzingatia service ya gari pamoja na utanzaji wa gari?

Utakuta kwa mfano jitu linaweka oil ya Tractor (SAE40) kwenye IST halafu linalia kuwa gari haina fuel economy!
 
Nimekivuta hivi karibuni,naendesha na AC Full time.
Kina sport mode ambayo ukiiweka ingini inaita na unaovertake uwezavyo kwani hufika spidi 100 ndani ya sekunde 5 tu.naogopa kusema inaweza kuwa chinja chinja kama harrier ,gx 100 na alteza kwa vile ni gari za vijana.
Kina mziki wa balaa ndani.

Shida kapo chini kama unakaa matopeni au mashimo shimo utakishosha bampa la mbele.

Angalia hapo RPM hiyo 78 speed kinapandisha kilima chepesi.
IMG_20210428_181243_837.jpg
IMG_20210428_181239_647.jpg
 
DAR - Mwanza nimewakimbiza Sana na mashine Yangu sidhani nilikuwa nabishana na Prado, Nissan X trail nakumbuka raum,rush na IST niliwaumiza Sana walipokuwa wanafanya ligi...hii ndinga nikienda nayo mkoani ni kwenda wa speed 150 - 170 km/h
 
Nimekivuta hivi karibuni,naendesha na AC Full time.
Kina sport mode ambayo ukiiweka ingini inaita na unaovertake uwezavyo kwani hufika spidi 100 ndani ya sekunde 5 tu.naogopa kusema inaweza kuwa chinja chinja kama harrier ,gx 100 na alteza kwa vile ni gari za vijana...
Sawa sawa, lakini haujajibu swali lake.
 
Back
Top Bottom