BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 776
Mafao ni haki ya mfanyakazi kwani ni kiinua mgongo chake.
Lakini kwa busara ya kawaida inapaswa familia ifaidike na mafao hayo.
Njia pekee ya huyo mke kupata au kufaidi mafao hayo ni kumshawishi au kuomba msaada wa kisheria wafungue Joint Account ili fedha ziingie humo. Hili litafanya mmoja asiweze kutoa pesa bila kuwa na mwenzake.
Kumbuka huyo bwana ataendelea kupata pensheni yake ya kila mwezi na hii haitaingia Joint Account.