BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 776
Naomba kupata ufafanuzi wa yafuatayo,
Nina kaka yangu ana mke wa ndoa na wameshaishi na mke wake kwa miaka 30. Huyu bwana anafanya katika taasisi moja ya fedha mjini Mwanza.
Bwana huyu ana mwezi sasa tokea astaaf hivyo anasubiria mafao yake. Familia yake iko mjini Tanga ila cha ajabu plan zake ni kwamba akishapata mafao aoe mwanamke mwengine na aachane na huyu wa zamani. Shida tunayoina ni kwamba huyu bwana pesa ikishaisha atarudi kwa mke wake.
Swali, je huyu mke ana uhalali gani kisheria ku intervene mafao ili huyu bwana asitapanye?
Swa
Nina kaka yangu ana mke wa ndoa na wameshaishi na mke wake kwa miaka 30. Huyu bwana anafanya katika taasisi moja ya fedha mjini Mwanza.
Bwana huyu ana mwezi sasa tokea astaaf hivyo anasubiria mafao yake. Familia yake iko mjini Tanga ila cha ajabu plan zake ni kwamba akishapata mafao aoe mwanamke mwengine na aachane na huyu wa zamani. Shida tunayoina ni kwamba huyu bwana pesa ikishaisha atarudi kwa mke wake.
Swali, je huyu mke ana uhalali gani kisheria ku intervene mafao ili huyu bwana asitapanye?
Swa