BRO LEE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2011
- 830
- 603
Habari wana jamvi, naomba ufafanuzi wa kisheria kwa jambo hili.
Bwana X aliomba mkopo wa benk kwa dhamana ya nyumba ambayo ilikuwepo eneo ambalo halijapimwa na viongozi wa mtaa wakadhibitisha hati ya mauziano kisha bank ikatoa mkopo.
Bwana X akashindwa kulipa mkopo wake bank ikaikamata kupitia dallali na kuuza kwa mnada wa hadhara.
Baada ya mauzo na aliyeshinda tuzo kulipa alilabidhiwa na bank ile hati ya mauziano iliyow3kwa dhamana.
Bwana X akagoma kutoka kwenye nyumba kwa misingi kwamba eneo hilo lilishapimwa na ana hati ambayo ameiweka dhamana kwa mkopo wa taasisi nyingine.
Sasa hapa napenda kufahamu haki ya msindi wa tuzo ya mnada itakuwaje, na je iwapo mwenye dhamana ya hati halisi ya kiwanja akijitokeza itakuwaje.
N..B. Bwana X alitengeneza hati na hakutoa taarifa kwa bank ya awali.
Asanteni mawakili wasomi na wanasheria.
Bwana X aliomba mkopo wa benk kwa dhamana ya nyumba ambayo ilikuwepo eneo ambalo halijapimwa na viongozi wa mtaa wakadhibitisha hati ya mauziano kisha bank ikatoa mkopo.
Bwana X akashindwa kulipa mkopo wake bank ikaikamata kupitia dallali na kuuza kwa mnada wa hadhara.
Baada ya mauzo na aliyeshinda tuzo kulipa alilabidhiwa na bank ile hati ya mauziano iliyow3kwa dhamana.
Bwana X akagoma kutoka kwenye nyumba kwa misingi kwamba eneo hilo lilishapimwa na ana hati ambayo ameiweka dhamana kwa mkopo wa taasisi nyingine.
Sasa hapa napenda kufahamu haki ya msindi wa tuzo ya mnada itakuwaje, na je iwapo mwenye dhamana ya hati halisi ya kiwanja akijitokeza itakuwaje.
N..B. Bwana X alitengeneza hati na hakutoa taarifa kwa bank ya awali.
Asanteni mawakili wasomi na wanasheria.