Naomba ufahamu kuhusu biashara ya damu ya ngombe

Damu ya Ng'ombe?!!! [emoji15] [emoji15] [emoji15] l Hawa ndo wanapitiamo wanauza na ya watu
 
Mkuu hyo dam iko wapi ndugu naomba mawasiliano yako niko dar mim 0787999851
Mkuu sina damu najifunza,nahisi ww mzoefu naomba unifumbue macho na akili kwa hili
 
Damu ya ng'ombe kwa ajili ya KISUSIO.

Kwa wale wachagga watakuwa wamenielewa
mkuu damu ya ng'ombe inayozungumziwa hapa ni kwaajili ya malisho ya wanyama kama nguruwe na kuku na inauzwa ikiwa kavu na imekuwa packed kwenye mifuko
 
Unataka damu ya ngo'mbe ufanye nayo nn?? Hapa ipo ya nguruwe kwa siku ipo Lita kama 130 bei maelewano najua hii haipatan na majini
Ipeleke Dubai inasoko sana kule.
 
Reactions: wax
Mkuu sina damu najifunza,nahisi ww mzoefu naomba unifumbue macho na akili kwa hili



Damu ya ngombe inatumika kama chakula cha mifugo au damu ya ngombe ni material ya chakula cha mifugo wote mfano kuku une kula leo hii ankula damu ya ngombe na anakuwa
 
KAMA UTAKUWA UNA UWITAJI WA DAMU YA NGOMBE KAVU PIGA HII NAMBA 0786068993
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…