Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo gazeti nililicreate mimi kupitia photo funia tena nikaweka picha yetu ya graduation nikalipost kwenye group la UDSM baed 2014 na ilikuwa ni utani
Kuna mtu anadai Gazeti la tarehe 27 jan,2015 la The Gurdian linadai ajira mpaka Julai. Likiwa na title hii. Kawambwa: Post on july
Je kuna ukweli katika hilo?
Dhumuni likiwa nini?
Si kweli kwakuwa ajira zenu zipo kwenye budget ya 2014/15 inayoishia 31 June. So ya JULY haiwahusu na post ni march.
Kila la heri kwenu.
Lilikuwa ni kumthibitishia mtu aliyepost gazet kama hilo kuwa editing inawezekana
Si kweli kwakuwa ajira zenu zipo kwenye budget ya 2014/15 inayoishia 31 June. So ya JULY haiwahusu na post ni march.
Kila la heri kwenu.