NAOMBA UNIOTE...

NAOMBA UNIOTE...

SuperHb

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2016
Posts
911
Reaction score
751
Kama kichwa kinavyojieleza...

Kuna binti nimempigia simu tukawa tunaongea mambo ya kawaida...ile tunafikia mwisho wa maongezi Akanambia. Eti "ANAOMBA NIMUOTE"... na ikitokea nikamuota nimwambie nimemuota vipi

Sasa mimi sijaelewa kwanini amemalizia na neno hilo...
 
Kama kichwa kinavyojieleza...

Kuna binti nimempigia simu tukawa tunaongea mambo ya kawaida...ile tunafikia mwisho wa maongezi Akanambia. Eti "ANAOMBA NIMUOTE"... na ikitokea nikamuota nimwambie nimemuota vipi

Sasa mimi sijaelewa kwanini amemalizia na neno hilo...
Wewe na huyo dem wako mpo kidato cha tatu mkondo gani ?
 
Back
Top Bottom