Naomba Unipokee!

Naomba Unipokee!

MTA1

Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
89
Reaction score
11
Waungwana Asalam Alequm, Bwana Asifiwe, Tumsifu Kristo; nawaomba mnipokee kwa mikono miwili ili niweze kuchangia mada mbalimbali kwa ustawi wa nchi yetu. Mie ni mkazi wa mkoa wa Tanga
 
Back
Top Bottom