Naomba ushauri biashara ya kusajili laini na kuuza vocha

Huu ndo ukwel mkuu me mwenyewe nafanya hii biashara
Mkuu tafadhali,naomba unisaidie kujua wapi nitapata vocha za Tigo na Airtel kwa bei hizo kwa Dar niko Gongo la Mboto ninakibanda cha Mpesa ninauza na vocha pia ila sijapata bado mahali pakuchukulia kwa bei hozi za jumla.Huwa nanunua kwa wanaotuletea vibandani na faida inakuwa inaminywa mno.
 
Njoo nikuunganishe na huduma ya mobistock, unauza vocha zote na vifurushi vyote online faida ni asilimia NNE kila vocha na kifurushi unachouza, njoo DM na namba yako ya simu nikuunge uanze kazi fasta.
 
Njoo nikuunganishe na huduma ya mobistock, unauza vocha zote na vifurushi vyote online faida ni asilimia NNE kila vocha na kifurushi unachouza, njoo DM na namba yako ya simu nikuunge uanze kazi fasta.


Hii huduma mmeanzisha lini ya kurusha vifurushi mitandao yote.
 
Achana nayo ni biashara kichaa hiyo wasikudanganye wakakuingiza kwenye mkenge utajuta.

Mwakajuzi walikuja inbox wakanipanga nikaingia kichwa kichwa. Kamisheni wanalipa kwa 1% yaani kwenye vocha za elf kumi unalipwa 100 na 100000 -1000 n. k.

Sasa unapoanza unaweka elf 10 wanakata 1000 kama kiingilio hivyo utabaki na elf 9 ambayo ukiuza vocha zote za elf tisa utapata faida ya sh 900 ambayo unakiza 100 kufikia kurudisha hela yako ya kiingilio kwahiyo laund hiyo inaisha kwa wewe kupigwa 100 kwenye hela yako unakua umewafanyia kazi wao.

Laund nyingine wanakata 200 kama sijui mavat gani na manini wanajua wao kwahiyo mwenye laund hii utapigwa sh 20 maana utakua umezungusha vocha za 9800 na kupata faida ya 980 jumla utakua na 10780 faida yako ni 780.

Hiyo ya kuweka bure ni uongo maana wanakuambia uweke kuanzia elf 25 na kwakipindi kile vodacom kila ukiingia kwenye menu ya hii kitu walikua wanakata Mia tatu kwenye vocha au muda wako wa maongezi.

Kama wameyafanyia kazi mapungufu Yale ya makato yaajabu ajabu nakupa go ahead lakini kama ndo vile fuga kuku wakienyeji tu ipo siku utakula hata mayai.
 
Njoo nikuunganishe na huduma ya mobistock, unauza vocha zote na vifurushi vyote online faida ni asilimia NNE kila vocha na kifurushi unachouza, njoo DM na namba yako ya simu nikuunge uanze kazi fasta.
Hii imekaaje hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…