Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Reja reja kiongozi.Unataka kuuza za Jumla au Reja reja ?
Faida yake ni ndogo sana sanaAnayejua namna faida ya vocha za simu za mkononi inavyoonekana, anifafanulie nataka nifanye hii biashara.
Niambie kiasi nijueFaida yake ni ndogo sana sana
Ninavyokumbuka kama nitakosea nitarekebishwa, niliambiwa ya 500 wapata 50 1000 wapata 100 2000 wapata 200 hivyoNiambie kiasi nijue
Nashukuru sana [emoji1752][emoji1752] Hiyo faida ni kubwa sana kwanguNinavyokumbuka kama nitakosea nitarekebishwa, niliambiwa ya 500 wapata 50 1000 wapata 100 2000 wapata 200 hivyo
Ila uliza zaidi maana kuna watu kama wawili wana maduka wanauza vocha navyokumbuka waliniambia hivyo so kwa uhakika zaidi ulizaNashukuru sana [emoji1752][emoji1752] Hiyo faida ni kubwa sana kwangu
Huu ndo ukwel mkuu me mwenyewe nafanya hii biasharaNinavyokumbuka kama nitakosea nitarekebishwa, niliambiwa ya 500 wapata 50 1000 wapata 100 2000 wapata 200 hivyo
Nashukuru sana [emoji1752][emoji1752] ndugu zanguni kwa maelezo yenu.Huu ndo ukwel mkuu me mwenyewe nafanya hii biashara
Sasa vocha unanunua wapi za jumla?Huu ndo ukwel mkuu me mwenyewe nafanya hii biashara
Kuna maduka yanayouza jumla na rejareja tembelea hata mtaan kwenu utayaona mkuuSasa vocha unanunua wapi za jumla?
Nimekuelewa kiongoziVocha huwa ni kikaribisha wateja tu na sio uwe na malengo ya kutengneza faida mjomba
Daah wanaminya sana aiseeVocha ya 500 bei ya jumla ni 480 so faida ni 20,vocha ya buku unauziwa kwa 960 faida ni 40.golini kwangu naziuza kama stail tu ya kuvuta wateja na kusaidia kuuza vitu vingine.
Mi mwenyewe siwaelewagi yaaniHivi nna wale wsnaouza magazeti vituo vya basi hivi wanaishi kwa biss JH ara hiyo siamini kabisa