mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 760
Hello wana JF,
nina jamaa yangu anataka kuingia katika biashara(dhahabu ya gold) hii ikoa ya Shinyanga/Tabora. Yeye amekulia na Uncle yake enzi hizo miaka ya 80s/90s. wakati anakua na mzee wake alikua na biashara hiyo. Kwa sasa mzee wake anafanya kukodishia watu maeneo na yeye ameona anataka kuingia akiwa na idea idea za mgodini inakuwaje.
Ila ana swali na nimemwambia namsaidia kumrushia humu kuomba ushauri au maelezo as yupo Dar. Anataka kupata leseni ya kiwanja/viwanja maeneo hayo ili aweze kufanya biashara na wenzake mmoja wawili watawekesha mtaji. Je nani anajua form zinapatikanaje kwa siku hizi katika ofisi za madini Shinyanga na Tabora? bei zake? na ukiwa mmiliki wa eneo je hati inakuwa na majina ya wawekezaji? Kuna form online mtu anaweza ona inahitaji nini na nini kujazwa na kusaini?
Mpango ni kupata eneo, kununua mashine za kuchimba na kusaga na kuchekesha.
Ushauri unaombwa kwa weye unayejua, samahani kama sijaeleweka ila naamini jamaa yangu ataweza kumudu kazi hii akipata mwanzo wa nini na nini kifanyike.
Kama unataka kuwasiliana nami kwa PM pia tutashukuru.
Shukurani
nina jamaa yangu anataka kuingia katika biashara(dhahabu ya gold) hii ikoa ya Shinyanga/Tabora. Yeye amekulia na Uncle yake enzi hizo miaka ya 80s/90s. wakati anakua na mzee wake alikua na biashara hiyo. Kwa sasa mzee wake anafanya kukodishia watu maeneo na yeye ameona anataka kuingia akiwa na idea idea za mgodini inakuwaje.
Ila ana swali na nimemwambia namsaidia kumrushia humu kuomba ushauri au maelezo as yupo Dar. Anataka kupata leseni ya kiwanja/viwanja maeneo hayo ili aweze kufanya biashara na wenzake mmoja wawili watawekesha mtaji. Je nani anajua form zinapatikanaje kwa siku hizi katika ofisi za madini Shinyanga na Tabora? bei zake? na ukiwa mmiliki wa eneo je hati inakuwa na majina ya wawekezaji? Kuna form online mtu anaweza ona inahitaji nini na nini kujazwa na kusaini?
Mpango ni kupata eneo, kununua mashine za kuchimba na kusaga na kuchekesha.
Ushauri unaombwa kwa weye unayejua, samahani kama sijaeleweka ila naamini jamaa yangu ataweza kumudu kazi hii akipata mwanzo wa nini na nini kifanyike.
Kama unataka kuwasiliana nami kwa PM pia tutashukuru.
Shukurani