Mstaafu gari ya nini? Atafanyaje mazoezi ya kutembea? Au atojoin na gym pia?Mama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.
Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)
Nissan xtrail.
Mama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.
Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)
Nissan xtrail.
Mnununulie RAV4 old model. Litamfaa sana mstaafu. Achana na Nissan
Asante, Nimeelezea hapo juu.
Ungefafanua,hanampango wakilimo trekta inamfaa sana,pengine ingepiga hiyokazi na akaja akanunua gari baadae..(nipotayari kua msimamizi wahiyo treka shamba)..kikubwa mkataba uwe softMama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.
Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)
Nissan xtrail.
Mama yangu ni mwalimu na anastaafu mwaka huu, na alikuwa anafikiria kununua gari. Kati ya haya lipi unaona linamfaa kwa budget isiyozidi 18M?. Mimi nilikuwa nafikiria haya, unaweza kuongeza unayodhani yanafaa zaidi.
Forester 2007 (najua 08 ndio bora zaidi lakini budget ndio tatizo)
Nissan xtrail.
Bi Mkubwa anataka gari akiwa ni mstaafu je ataishi mjini au shamba? je atakuwa anasafiri nayo mbali au atapigia misele town? je baada ya kustaafu atategemea pensheni tu au atakuwa na njia zingine za kuongeza kipato? je ana familia ya ukubwa gani? lakini kwa mie vyovyote iwavyo "TOYOTA" inabaki kuwa bora number moja hasa Rav4, Noah Liteace (sio Voxy kimeo), Raum, Starlet, IST, Allex, Fielder, Runx na zinginezo zote familia ya Corolla kwani hatajutia matumizi ya mafuta, upatikanaji wa spare, Bei rahisi kwa vipuri na hata mafundi wa gari hizo ni wengi hivyo hawezi kukwama porini