Naomba ushauri jamani!!!

Naomba ushauri jamani!!!

IHANDA

Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
62
Reaction score
15
Jamani mimi niliwahi kuumwa ugonjwa wa kifua kikuu miaka 7 iliyopita na nilipata matibabu nikawa nimepona kabisa lakini cha kushangaza nashindwa kucheka!! na nikicheka kwa kujilazimisha basi nakohoa na hata mtu akinisukuma kidogo kifuani upande wa kushoto pia lazima nikohoe. Je, nina tatizo gani?*
 
Pole sana mkuu,subiri ma dr waje utapona.
 
Back
Top Bottom