Naomba ushauri jinsi ya kupata volunteer Pomoja na wafadhili wa kujenga shule

Naomba ushauri jinsi ya kupata volunteer Pomoja na wafadhili wa kujenga shule

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Wakuu, nipeni uzoefu katika hilo tafadhali. Mimi na rafiki yangu tumepanga nyumba ndogo ambayo tunatumia kama madarasa pamoja na ofisi humo humo, sasa tupo katika mchakato wa kujipanua shule bado ni changa sana na imeanza mwaka huu.

Tunatakiwa kujenga vyumba vya madarasa pamoja na ofisi za walimu, na mabweni. Sasa wakuu, ni namna gani tunaweza kupata ufadhili?

Nashukuru kwa ushauri mtakaonipa.
 
Waooooh kwanza nikupe hongera mkuu hongereni sana nimefurahi kuona wanawake wenye uthubutu.

Kabla sijatoa maoni nadhani ungetuambia shule ni Academy (montessori schools), primary (English medium) au secondary.

kupata wafadhili wa kujenga shule kuna mambo ya kuzingatia je inahitaji wahisani wawe Wazungu au Waswahili?

Kwa waswahili lazima watataka share ya profit later kwa wazungu kuna makubaliano fulani lakini mostly ni kuahidi kusaidia wasiojiweza kiuchumi Kama walivyofanya baadhi ya watu ila kiukweli hawasadii kabisa wasiojiweza.

ukahisi wa kupata ufadhili ni kuandaa project inayoeleweka ya ten to 20 years to come na hizo projects ziwe na reachable goals then uwe na facts za kutosha pia.

Then baada ya kuandaa hiyo project inabidi uanze kuomba meeting na taasisi husika au watu husika, hii stage inahitaji sana uvumilivu maana kwa WaTz wengi huwa wanakatisha tamaa ila jitahidi ukipewa appointment mnaenda na mwenzio mkiwa full katika data, then muwe tayari kufollow legal rules ili muonekane mna nia na malengo ya kweli kabisa.

Pia mwisho shule ipo mkoa gani? kama upo iringa kuna mtu unaweza meet nae japo kuonana nae ni ngumu ila it's worth kupambana kuwa na meeting now na ni helping sana (sio mTz then ni mmama).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani sana kwa ushauri wako, sisi tupo Arusha na shule pia ipo Arusha,
Shule ni primary English medium
 
Shukrani sana kwa ushauri wako, sisi tupo Arusha na shule pia ipo Arusha,
Shule ni primary English medium
Owky mkuu anza kwanza na kuandaa project ya shule kiujumla( vision, mission zenu, your motives zilizofanya mkawaza kuandaa school, your targets kwa miaka mfano target za miaka 5 ziwepo na miaka 20 ziwepo wanaita short term and long term goals) pia kibali cha shule (zile legal proceedings zq kufungua shule mzihifadhi vizuri) and when you are ready nitakutumia jina la huyo madam kwenye instagram umuombe meeting though ndo yupo iringa huku ukiwa unatafuta na wafadhili wengine hapo Arusha......

Taratibu mtafika now mjitoe sana kuandaa project kama hauwezi andaa jifunze google just google (how to write school projects) zitakuja..... Mungu akijalia uzima nitaconduct Montessori training kwa watoto wadogo wale two years to five years for free kwa walimu wenu watakaokuwepo na ntakutumia materials za Montessori school kwaajili ya kindergarten one and two.....maana ndio nnachojua kidogo kuanzia primary mtaala niliokuwaga natumia ni Cambridge tu so sijui mtaala wa hapa nyumbani unaelekezaje.... Ila kwa wale 2 to 5 years naweza conduct course vzuri sana ili nyie mdeal na kuanzia class 1 na kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Owky mkuu anza kwanza na kuandaa project ya shule kiujumla( vision, mission zenu, your motives zilizofanya mkawaza kuandaa school, your targets kwa miaka mfano target za miaka 5 ziwepo na miaka 20 ziwepo wanaita short term and long term goals) pia kibali cha shule (zile legal proceedings zq kufungua shule mzihifadhi vizuri) and when you are ready nitakutumia jina la huyo madam kwenye instagram umuombe meeting though ndo yupo iringa huku ukiwa unatafuta na wafadhili wengine hapo Arusha......

Taratibu mtafika now mjitoe sana kuandaa project kama hauwezi andaa jifunze google just google (how to write school projects) zitakuja..... Mungu akijalia uzima nitaconduct Montessori training kwa watoto wadogo wale two years to five years for free kwa walimu wenu watakaokuwepo na ntakutumia materials za Montessori school kwaajili ya kindergarten one and two.....maana ndio nnachojua kidogo kuanzia primary mtaala niliokuwaga natumia ni Cambridge tu so sijui mtaala wa hapa nyumbani unaelekezaje.... Ila kwa wale 2 to 5 years naweza conduct course vzuri sana ili nyie mdeal na kuanzia class 1 na kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app

Bushmamy
Mkuu katoa muongozo mzuri wa kuanzia. Tumeufanyia kazi?
 
Ni sawa ndo tupo kwenye Mchakato huo,
Vip mawazo, maoni ushauri toka kwako?
Kwa ulimwengu wa sasa, ukiweza kuandika kitu katika formal project proposal, ni rahisi zaidi kupata msaada.

Ndiyo maana nikapendekeza kuanzia hapo kwanza.

Vinginevyo naweza kwenda kwa mtu nikamuhadithia habari, akaniuliza, kuna website? Nikamwambia hakuna, akauliza kuna formal project proposal? Nikamambia hakuna.

Ataniangaliaaa, ataona nacheza tu.

Kuna watu nakutana nao kwenye lift muda wa kuongea nao ni dakika moja au mbili tu, lakini mtu kama huyo ukiweza kumpa "pitch" nzuri, halafu ukampa bahasha yenye proposal au ukamtumia email yenye project documents unaweza kufanya makubwa.
 
Kwa ulimwengu wa sasa, ukiweza kuandika kitu katika formal project proposal, ni rahisi zaidi kupata msaada.

Ndiyo maana nikapendekeza kuanzia hapo kwanza.

Vinginevyo naweza kwenda kwa mtu nikamuhadithia habari, akaniuliza, kuna website? Nikamwambia hakuna, akauliza kuna formal project proposal? Nikamambia hakuna.

Ataniangaliaaa, ataona nacheza tu.

Kuna watu nakutana nao kwenye lift muda wa kuongea nao ni dakika moja au mbili tu, lakini mtu kama huyo ukiweza kumpa "pitch" nzuri, halafu ukampa bahasha yenye proposal au ukamtumia email yenye project documents unaweza kufanya makubwa.
Hakika Mr. Kiranga unayoyasema ni masuala muhimu na bora kuyazingatia.

cc. Rebecca 83
 
Kwa ulimwengu wa sasa, ukiweza kuandika kitu katika formal project proposal, ni rahisi zaidi kupata msaada.

Ndiyo maana nikapendekeza kuanzia hapo kwanza.

Vinginevyo naweza kwenda kwa mtu nikamuhadithia habari, akaniuliza, kuna website? Nikamwambia hakuna, akauliza kuna formal project proposal? Nikamambia hakuna.

Ataniangaliaaa, ataona nacheza tu.

Kuna watu nakutana nao kwenye lift muda wa kuongea nao ni dakika moja au mbili tu, lakini mtu kama huyo ukiweza kumpa "pitch" nzuri, halafu ukampa bahasha yenye proposal au ukamtumia email yenye project documents unaweza kufanya makubwa.
Asante kwa ushauri wako
 
Hongera sana mdau Mimi pia ninaharakati hizo ila naomba msaada namna ya kuandika andiko la kuvutia na ni niwapate wapi hawa wadau.
FB_IMG_16667951761292544.jpg
 
Owky mkuu anza kwanza na kuandaa project ya shule kiujumla( vision, mission zenu, your motives zilizofanya mkawaza kuandaa school, your targets kwa miaka mfano target za miaka 5 ziwepo na miaka 20 ziwepo wanaita short term and long term goals) pia kibali cha shule (zile legal proceedings zq kufungua shule mzihifadhi vizuri) and when you are ready nitakutumia jina la huyo madam kwenye instagram umuombe meeting though ndo yupo iringa huku ukiwa unatafuta na wafadhili wengine hapo Arusha......

Taratibu mtafika now mjitoe sana kuandaa project kama hauwezi andaa jifunze google just google (how to write school projects) zitakuja..... Mungu akijalia uzima nitaconduct Montessori training kwa watoto wadogo wale two years to five years for free kwa walimu wenu watakaokuwepo na ntakutumia materials za Montessori school kwaajili ya kindergarten one and two.....maana ndio nnachojua kidogo kuanzia primary mtaala niliokuwaga natumia ni Cambridge tu so sijui mtaala wa hapa nyumbani unaelekezaje.... Ila kwa wale 2 to 5 years naweza conduct course vzuri sana ili nyie mdeal na kuanzia class 1 na kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Tupeni hao wazamini boss.
 
Wakuu, nipeni uzoefu katika hilo tafadhali. Mimi na rafiki yangu tumepanga nyumba ndogo ambayo tunatumia kama madarasa pamoja na ofisi humo humo, sasa tupo katika mchakato wa kujipanua shule bado ni changa sana na imeanza mwaka huu.

Tunatakiwa kujenga vyumba vya madarasa pamoja na ofisi za walimu, na mabweni. Sasa wakuu, ni namna gani tunaweza kupata ufadhili?

Nashukuru kwa ushauri mtakaonipa.
VIPI SHULE YAKO INAENDELEAJE?ULIPATA WAFADHILI TAYARI NA YULE MAMA WA IRINGA ULIMCHECK TUPE MREJESHO
 
Back
Top Bottom