Spf ndo nini mkuuWeusi unatokana na jua.
Punguza kuvaa open shoes.
Pia pendelea kupaka lotions zenye SPF kulingana na ngozi yako.
utasaidiwa hapa sibirihabari...jamani mim ni mweusi lakin sio weusi ule uliofifia sana niseme kama maji ya kunde..lakin tatzo miguuni ni mweusi sana yaani kuanzia kwenye kiwiko cha mguu kwenda chini..situmii cream ya aina yoyote mafuta nayopaka ni vaseline pia napendelea kuvaa sana suruali na hata kama nguo ingine basi ni ndefu,viatu napendelea sana sandalz...nifanye vip ili niwe na rangi sawa maana mtu ukiiona unaweza sema najichubua lakin ndo ipo ivyo...naitaji ushauri wenu/njia ya kutunza miguu
ahsante!
Pendelea kuvaa raba na soksi muda mrefu kwa siku utaona miguu inavyosafika[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]habari...jamani mim ni mweusi lakin sio weusi ule uliofifia sana niseme kama maji ya kunde..lakin tatzo miguuni ni mweusi sana yaani kuanzia kwenye kiwiko cha mguu kwenda chini..situmii cream ya aina yoyote mafuta nayopaka ni vaseline pia napendelea kuvaa sana suruali na hata kama nguo ingine basi ni ndefu,viatu napendelea sana sandalz...nifanye vip ili niwe na rangi sawa maana mtu ukiiona unaweza sema najichubua lakin ndo ipo ivyo...naitaji ushauri wenu/njia ya kutunza miguu
ahsante!
Sun protection factor...kwa hivyo unaponunua mafuta ya kujipaka angalia kny ingredients utaona wameionyesha kama ipo, kama haipo hutaona. Itakusaidia na athari za miale ya jua.SPF NDO NINI MKUU
Mkuu ni jua tu?? vipi kuhusu baridi?Weusi unatokana na jua.
Punguza kuvaa open shoes.
Pia pendelea kupaka lotions zenye SPF kulingana na ngozi yako.
habari...jamani mim ni mweusi lakin sio weusi ule uliofifia sana niseme kama maji ya kunde..lakin tatzo miguuni ni mweusi sana yaani kuanzia kwenye kiwiko cha mguu kwenda chini..situmii cream ya aina yoyote mafuta nayopaka ni vaseline pia napendelea kuvaa sana suruali na hata kama nguo ingine basi ni ndefu,viatu napendelea sana sandalz...nifanye vip ili niwe na rangi sawa maana mtu ukiiona unaweza sema najichubua lakin ndo ipo ivyo...naitaji ushauri wenu/njia ya kutunza miguu
ahsante!
Sun Protection Factor. Kila ngozi ina namba yake muone mtaalamu atakusaidia.SPF NDO NINI MKUU
Tanning ina sababishwa na jua. Kuhusu baridi sijuiMkuu ni jua tu?? vipi kuhusu baridi?
anhaa sawa mkuuTanning ina sababishwa na jua. Kuhusu baridi sijui