Naomba ushauri jinsi ya kutunza miguu

Naomba ushauri jinsi ya kutunza miguu

MI maji ya kunde flan hv ila Hii mambo ya kuvaa socks sana ilinisababishia miguu iwe myeupeee kuzd kwingine hadi kuna kipnd nliacha kbs mana nataka ngozi iwe even toned, hehe atleast miguu ikiwa lighter than uso inajulikana sio mchubuo
 
Habari jamani mimi ni mweusi lakin sio weusi ule uliofifia sana niseme kama maji ya kunde lakini tatzo miguuni ni mweusi sana yaani kuanzia kwenye kiwiko cha mguu kwenda chini

Situmii cream ya aina yoyote mafuta nayopaka ni vaseline pia napendelea kuvaa sana suruali na hata kama nguo ingine basi ni ndefu,viatu napendelea sana sandalz nifanye vip ili niwe na rangi sawa maana mtu ukiiona unaweza sema najichubua lakini ndo ipo ivyo naitaji ushauri wenu/njia ya kutunza miguu
Ahsante!
Paka lotion acha kupaka mafuta ya mgando
 
Back
Top Bottom