Ndara Mbovu
Senior Member
- Feb 28, 2017
- 155
- 83
Furthermore Jaribu kuchunguza ndani ya udongo huenda kunawadudu wanatabia ya kufyonza majimaji kwenye mizizi ya Mmea was tikiti.....Hii nimeexperience hasa ikiwa shamba linaunyevunyevu mwingi ndo wadudu hupendelea sanaKwani Umetumia mbolea gani? Shida sio size ya mmea.Binafsi hua naweka mbolea mara3 kutoka mche hadi kuvuna: Awamu1:Mmea(mche)unakuwa unaweka jani la kati(DAP,NPK-yaramila winner)
Awamu2:Mmea unajiandaa kuweka maua(CAN/CAN+DAP mix)
Awamu3:Mmea umeweka matunda(CAN/mixer)
Kipimo cha mbolea na distance upo sahihi ila kumbuka kumwagilia maji yakutosha Mara baada ya kuweka mbolea
Kwani Umetumia mbolea gani? Shida sio size ya mmea.Binafsi hua naweka mbolea mara3 kutoka mche hadi kuvuna: Awamu1:Mmea(mche)unakuwa unaweka jani la kati(DAP,NPK-yaramila winner)
Awamu2:Mmea unajiandaa kuweka maua(CAN/CAN+DAP mix)
Awamu3:Mmea umeweka matunda(CAN/mixer)
Kipimo cha mbolea na distance upo sahihi ila kumbuka kumwagilia maji yakutosha Mara baada ya kuweka mbolea
Nashukuru kwa ushauti wako, ngoja nikachunguze.Furthermore Jaribu kuchunguza ndani ya udongo huenda kunawadudu wanatabia ya kufyonza majimaji kwenye mizizi ya Mmea was tikiti.....Hii nimeexperience hasa ikiwa shamba linaunyevunyevu mwingi ndo wadudu hupendelea sana
Mkuu hapo shida ni hiyo mbolea ya urea ni rahisi mno kuchoma mimea hususani mbogamboga na matunda hua naiogopa sana hio mbolea.Braza inafika wiki sasa na siku 1 naona bado inakufa, mbolea niliyoiweka nilichanganya kilo 15 za urea, kilo 10 za DAP na kilo 5 za SA, maji namwagilia kwa mitaro kama hvyo kunarowa kweli. View attachment 889934View attachment 889937View attachment 889940View attachment 889941
mbolea uliweka mda gani?Nimelima matikiti maji kwa mara ya pili sasa, changamoto yangu juu ya utiaji wa mbolea ya viwandani katika miche.
mana inakufa sana nikishatia mbolea.
Natumia kizibo cha take away kama kipimio katika kila mche na naweka sentimeta 5 kutoka kwenye mche, naifukia.
Nilikuwa na miche elfu 5 shambani sasa hivi imebaki elfu 3.8View attachment 887391
mbolea uliweka mda gani?
maana mbolea za viwandani sharti ziwekwe jioni angalu kuanzai saa 11 jioni
OkUrea inahitaji uangalifu sana kwani usipo kuwa makini utachoma mimea sana. Weka mbolea kama DAP+ NPK, na CAN wakati wa kuanza uzazi kwa mimea