Ndara Mbovu
Senior Member
- Feb 28, 2017
- 155
- 83
Nimelima matikiti maji kwa mara ya pili sasa, changamoto yangu juu ya utiaji wa mbolea ya viwandani katika miche.
mana inakufa sana nikishatia mbolea.
Natumia kizibo cha take away kama kipimio katika kila mche na naweka sentimeta 5 kutoka kwenye mche, naifukia.
Nilikuwa na miche elfu 5 shambani sasa hivi imebaki elfu 3.8
mana inakufa sana nikishatia mbolea.
Natumia kizibo cha take away kama kipimio katika kila mche na naweka sentimeta 5 kutoka kwenye mche, naifukia.
Nilikuwa na miche elfu 5 shambani sasa hivi imebaki elfu 3.8