Naomba ushauri juu ya biashara ya barber shop

Naomba ushauri juu ya biashara ya barber shop

Biashara ya Salon ni nzuri sana ukisimama mwenyewe, nimewahi ifanya hii biashara nikamkabidhi jamaa ofisi. Mwezi mmoja wa kwanza kila kitu kilienda sawa, baada ya hapo mapicha picha yakaanza. Mara leo wateja hakuna, mara wenzangu wamegoma kulipa hela ya umeme, daily sababu zikawa hazikosi. Nikaona isiwe shida nikamtimulia mbali nakuuza vifaa vyangu.
Mchongo sio kuua biashara ni kutengeneza formula nzuri so kila atayesumbua biashara utaiua sio?
 
biashara ya saluni ni PA$UA KICHWA,
kama hautaisimamia mwenyewe. usipokuwepo eneo la kazi hapo,
jua na lako halipo.
 
Uhakikishe unafunga na cctv camera kuepusha udanganyifu wa mtu utakae mkabidhi akupe hesabu za kila siku, bila hivyo utalia kilio cha mbwa koko
 
Back
Top Bottom