Naomba ushauri juu ya brand bora ya magodoro 5x6

Naomba ushauri juu ya brand bora ya magodoro 5x6

Herry jr

Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
74
Reaction score
134
Nahitaji ushauri juu ya brand nzuri ya magodoro ya kulalia, nahtaji kununua godoro la inch 8 au 10 kwny kitanda cha 5x6 ila ambalo ni mkataba kabsa linadumu kwa mda mrefu.

Na je ni vitu gani vya kuangalia wakat wa kuchagua godoro zuri.
 
Nahitaji ushauri juu ya brand nzuri ya magodoro ya kulalia, nahtaji kununua godoro la inch 8 au 10 kwny kitanda cha 5x6 ila ambalo ni mkataba kabsa linadumu kwa mda mrefu. Na je ni vitu ganu vya kuangalia wakat wa kuchagua godoro zuri.
Kwa upande wangu QFL magodoro dodoma yamenilea so !! Ni bora kwangu
 
Kitu cha kuangalia wakati wa kununua godoro imara ni density.Chukua lenye density kubwa.Ukichukua lenye density ndogo linakuja kubonyea katikati na hii haitajalisha kuwa umenunua la brand gani.
 
Kitu cha kuangalia wakati wa kununua godoro imara ni density.Chukua lenye density kubwa.Ukichukua lenye density ndogo linakuja kubonyea katikati na hii haitajalisha kuwa umenunua la brand gani.

Nitajuaje density ya godoro ?
 
Nitajuaje density ya godoro ?
Kwanza nenda kwa dealer , ukinunua mtaani hawajui mambo ya density,
Muhimu chukua lenye density kubwa litadumu kwa muda mrefu bila kubonyea katikati
 
Kitu cha kuangalia wakati wa kununua godoro imara ni density.Chukua lenye density kubwa.Ukichukua lenye density ndogo linakuja kubonyea katikati na hii haitajalisha kuwa umenunua la brand gani.
Mkuu upo sahihi kabisa , density ndo kila kitu linapokuja swala la godoro
Nilikuwa sijui nikawa nanunua godoro linakaa miezi tu , linabonyea , hadi siku napata elimu hii ilikuwa nishanunua magodoro manne ,
 
Nitajuaje density ya godoro ?
tre76image12.png
 
Yaani kama coincidence vile maana na mimi ni mhanga.
Nipo kitandani hapa nimelalia li Banco
Linanitesa, yaan full kubonyea nafanya kubadilisha eneo maana nikilalia sehem moja mda mrefu lina unaamka mgongo unauma.

Next time nikinunua 6*6 nitakua makini zaidi
 
Yaani magodoro ni changamoto tupeni mbinu za kupata yenye uborav
 
Ushauri wa magodoro karibu sana 0763542515 whatsapp/sms/call



OFFA GSM INCHI 8 5X6 UNALIPATA KWA 180000 TU
NA INCHI 6 5X6 150000 TU

USAFIRI BURE MPAKA ULIPO DAR

USAFIRI BURE POPOTE DAR[emoji685]
KARIBUNI[emoji344][emoji344] MAGODORO_BEI_POA
[emoji3591][emoji117]0763542515call/sms________________
VITANDA VIPO
NET + PILLOW ZIPO
0763542515

BEI ZA KILA GODORO
GSM
[emoji3493][emoji3596] SIZE 6X6[emoji3494]

INCHI 12 6X6 400000
INCHI 10 6X6 360000
INCHI 8 6X6 240000
INCHI 6 6X6 200000

GSM
[emoji3588][emoji3588]SIZE 5X6[emoji3588][emoji3588]
INCHI 6 5X6 150000
INCHI 8 5X6 180000
INCHI 10 5X6 280000
INCHI 12 5X6 370000

GSM
[emoji3588][emoji3588] SIZE 4X6[emoji3594][emoji3594]

INCHI 8 4X6 160000
INCHI 6 4X6 130000
INCHI 6 3X6 110000
YA SHULE YAPO ELFU 55 TU

OFFA KALI MAGODORO YA KILI FOAM YAKIWA NA WARANTI MIAKA MIWILI

SIZE 5X6
INCHI SITA 5X6 185000
INCHI 8 5X6 235000
INCHI 10 5X6 275000
INCHI 12 5X6 355000

TUF FOAM [emoji3596]
TUF FOAM INCHI 6 5X6 145000
TUF FOAM INCHI 8 5X6 175000

VITA FOAM[emoji3596][emoji3596][emoji3596][emoji3596]
5X6 FURAHA SUPREME
INCHI SITA 5X6 155000
INCHI NANE 5X6 185000
INCHI 10 5X6 270000
INCHI 12 5X6 350000

DODOMA QFL 5x6 [emoji3596][emoji3596]

DODOMA QFL INCHI 6 5X6 195000
DODOMA QFL INCHI 8 5X6 255000
DODOMA QFL INCHI 10 5X6 320000
DODOMA QFL INCHI 12 5X6 390000

ARUSHA DELUXE
6*6 INCH 12 NI 450,000
6*6 inch 10 ni 410000
6*6 inch 8 ni 330000

5*6 inch 12 NI 410000
5*6 INCH10 NI 380000
5*6 inch 8 ni 320000

TANFOAM Arusha
5*6 inch 8 ni 310000
5*6 inch 10 ni 395000
5*6 inch 12 NI 455000
6*6 inch 8 ni 410000
6*6 inch 10 ni 480000
6*6 inch 12 NI 560000

ARUSHA BEST,DODOMA FOAM [emoji3596][emoji3596][emoji3596]
5X6 INCHI 6 185000
5X6 INCHI 8 240000
5X6 INCHI 10 300000

SPRING ZIPO KATIKA OFFA KALI KWETU

[emoji736][emoji736]WHATSAPP
CALL/SMS [emoji3591]0763542515[emoji3588][emoji3588]
 
Mi mimeuza na kufanya biashara ya magodoro zaidi ya miaka 6

Ninua godoro LA QFL lile lenye ufito pembeni
Au nunua lile la foronya LA kuvua
Hilo ndio godoro nnalolitumia nimezalia hapo watoto wangu 4

Utakuja kunishukur baadar
 
Back
Top Bottom