Naomba ushauri juu ya hili swala

Naomba ushauri juu ya hili swala

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
238
Reaction score
954
Nasumbuliwa na mgongo ni takribani miaka mitatu sasa,hasa wakati wa usiku nimekuwa ni mtu ambaye sifurahii sana usingizi,mgongo una asili ya moto tu mda wote na kama sio kuhisi nimepakwa pili pili na kifua kwa mbali kinapataga moto,niliwahi Pimwa vidonda vya tumbo nikaambiwa majibu yako positive nikaanza dawa,nimetumia heligo kit kwa miezi miwili lakini nilipata nafuu tu sio kupona,nilivyoona nakunywa dawa bila mafanikio nikaamua kuacha kabisa dawa,lakini mgongo ukaendelea kuwa na maumivu makali nikaamua kufanya x ray pia ikaonekana kuna tatizo pia nikapewa amox clav,lakini sikuandikiwa na daktari aliandika mtu wa x ray baada ya kugundua tatizo, nikanywa lakini hadi Leo sina nafuu yeyote ile zaidi ya maumivu.naomba uni pm kwaajili ya kunipa ushauri zaidi.Asanteni....
 
Nasumbuliwa na mgongo ni takribani miaka mitatu sasa,hasa wakati wa usiku nimekuwa ni mtu ambaye sifurahii sana usingizi,mgongo una asili ya moto tu mda wote na kama sio kuhisi nimepakwa pili pili na kifua kwa mbali kinapataga moto,niliwahi Pimwa vidonda vya tumbo nikaambiwa majibu yako positive nikaanza dawa,nimetumia heligo kit kwa miezi miwili lakini nilipata nafuu tu sio kupona,nilivyoona nakunywa dawa bila mafanikio nikaamua kuacha kabisa dawa,lakini mgongo ukaendelea kuwa na maumivu makali nikaamua kufanya x ray pia ikaonekana kuna tatizo pia nikapewa amox clav,lakini sikuandikiwa na daktari aliandika mtu wa x ray baada ya kugundua tatizo, nikanywa lakini hadi Leo sina nafuu yeyote ile zaidi ya maumivu.naomba uni pm kwaajili ya kunipa ushauri zaidi.Asanteni....
Dah pole sana mi ushauri wangu inabid tu uende tena hospital binadamu tunapitia changamoto sana mwenyezi mungu akusaidie
 
Duh pole sana. Nenda hospitali nyingine. Inaweza kuwa issue za nerves.
 
Nasumbuliwa na mgongo ni takribani miaka mitatu sasa,hasa wakati wa usiku nimekuwa ni mtu ambaye sifurahii sana usingizi,mgongo una asili ya moto tu mda wote na kama sio kuhisi nimepakwa pili pili na kifua kwa mbali kinapataga moto,niliwahi Pimwa vidonda vya tumbo nikaambiwa majibu yako positive nikaanza dawa,nimetumia heligo kit kwa miezi miwili lakini nilipata nafuu tu sio kupona,nilivyoona nakunywa dawa bila mafanikio nikaamua kuacha kabisa dawa,lakini mgongo ukaendelea kuwa na maumivu makali nikaamua kufanya x ray pia ikaonekana kuna tatizo pia nikapewa amox clav,lakini sikuandikiwa na daktari aliandika mtu wa x ray baada ya kugundua tatizo, nikanywa lakini hadi Leo sina nafuu yeyote ile zaidi ya maumivu.naomba uni pm kwaajili ya kunipa ushauri zaidi.Asanteni....
Hapo tatizo naona ni uti wa mgongo kitaalamu inaitwa intevetebral disc prolapse au ankylosing spondylitis huu ni ugonjwa ambao pingili za uti wa mgongo zimesagika kama sio kuachana ...dawa yake tumia pregablin 75mg od 30day, tramadol 100mg tds 3/ 7 ,Neuroton 1 tab od 30 day japo ujasema kama unapata ganzi na uende hospitali kwa ajili ya MRI na CT scan Muhumbili au Bugando sijajua uko wapi
 
Nasumbuliwa na mgongo ni takribani miaka mitatu sasa,hasa wakati wa usiku nimekuwa ni mtu ambaye sifurahii sana usingizi,mgongo una asili ya moto tu mda wote na kama sio kuhisi nimepakwa pili pili na kifua kwa mbali kinapataga moto,niliwahi Pimwa vidonda vya tumbo nikaambiwa majibu yako positive nikaanza dawa,nimetumia heligo kit kwa miezi miwili lakini nilipata nafuu tu sio kupona,nilivyoona nakunywa dawa bila mafanikio nikaamua kuacha kabisa dawa,lakini mgongo ukaendelea kuwa na maumivu makali nikaamua kufanya x ray pia ikaonekana kuna tatizo pia nikapewa amox clav,lakini sikuandikiwa na daktari aliandika mtu wa x ray baada ya kugundua tatizo, nikanywa lakini hadi Leo sina nafuu yeyote ile zaidi ya maumivu.naomba uni pm kwaajili ya kunipa ushauri zaidi.Asanteni....
Pole mkuu!! Fanya ivy chukua albat soda changanya na asali mbichi kijiko cha chakula chua hapo kwanye maumivu kila cku ucku baada ya cku kadhaa

Halafu chukua albat soda changanya na asali kijiko kimoja uchanganye unga wa mlonge kunywa!! Utapona vzuri amin ndugu yangu amin nakwambia

Kijiko tumia cha chakula yaan kijiko kikubwa
Iyo albat soda inauzwa kwenye maduka ya dawa za asili zipo za bei tofaut kazi ni kwako
 
Pole mkuu!! Fanya ivy chukua albat soda changanya na asali mbichi kijiko cha chakula chua hapo kwanye maumivu kila cku ucku baada ya cku kadhaa

Halafu chukua albat soda changanya na asali kijiko kimoja uchanganye unga wa mlonge kunywa!! Utapona vzuri amin ndugu yangu amin nakwambia

Kijiko tumia cha chakula yaan kijiko kikubwa
Iyo albat soda inauzwa kwenye maduka ya dawa za asili zipo za bei tofaut kazi ni kwako
aise RRONDO

Ova
 
Nasumbuliwa na mgongo ni takribani miaka mitatu sasa,hasa wakati wa usiku nimekuwa ni mtu ambaye sifurahii sana usingizi,mgongo una asili ya moto tu mda wote na kama sio kuhisi nimepakwa pili pili na kifua kwa mbali kinapataga moto,niliwahi Pimwa vidonda vya tumbo nikaambiwa majibu yako positive nikaanza dawa,nimetumia heligo kit kwa miezi miwili lakini nilipata nafuu tu sio kupona,nilivyoona nakunywa dawa bila mafanikio nikaamua kuacha kabisa dawa,lakini mgongo ukaendelea kuwa na maumivu makali nikaamua kufanya x ray pia ikaonekana kuna tatizo pia nikapewa amox clav,lakini sikuandikiwa na daktari aliandika mtu wa x ray baada ya kugundua tatizo, nikanywa lakini hadi Leo sina nafuu yeyote ile zaidi ya maumivu.naomba uni pm kwaajili ya kunipa ushauri zaidi.Asanteni....
Unatibiwa sana uchochoroni , kwanini usiwaone proper Doctors?

Yaani unaandikiwa dawa na mtu wa x ray na wewe kweli unaenda kunywa?
 
Back
Top Bottom