Naomba ushauri juu ya mikopo ya wafanyakazi kutoka kwenye mabenki yetu

leirilwa

Senior Member
Joined
Sep 18, 2015
Posts
118
Reaction score
22
Habari wanajf! Naomba ushauri kwa yeyote mwenye experience juu ya mikopo ya wafanyakazi kutoka kwenye mabenki yetu hapa nchini, ni benki gani inatoa mikopo mizuri (hela kubwa kidogo na riba nafuu) kwa mfanyakazi mwenye basic salary ya 520000 hiv, anaweza kupewa mkopo kiasi gani .Natanguliza shukrani
 
Ushauri wangu, nenda ktk tawi LA benki unayopokelea mshahara, watakufanyia ukokotozi. Huo mshahara wanabakiza theluthi moja, nyingine unawezakopea baada ya makato mengine yote. NMB wako vizuri kuliko CRDB na NBC. Wapelekee salary slip tu unapata maelezo yote
 
ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…