John porter
Member
- Jul 8, 2013
- 65
- 28
Habari wanaJF.
Poleni na mihangaiko ya maisha, natanguliza shukran kwa kuchukua muda wako na kusoma uzi huu naomba msaada wa haya mambo mawili
1. Ni kozi ipi iko nzuri(marketable) na itanifaa kusoma kwa ufaulu huu
A) chet cha o'level
B) chet cha utunzaji kumbukumbu,
4.0 gpa
First class
C) Stashahada ya utunzaji wa kumbukumbu
3.5 gpa
Upper second
2. Je na apply vipi TCU
Tafuta tcu guide book ingia hapa
www.tcu.ac.tz
ili kujua programe courses zipi zinazokufaa pia cutting point zake ila kwa nyie wa diploma gpa ni 2.7 minimum
utajisajili kupitia CAS (CENTRAL ADIMISSION SYSTEM) ambapo utatakiwa ukanunue vocha bank ya NBC tsh 50000/=
NB ; program course mwisho tano kujaza na chuo kimoja unaruhusiwa mwisho course mbili tuu
Angalizo chagua chuo kutokana pass zako na masomo yako uliyosoma
usije ukatemwa first round ...!
Ahsante mkuu Darius
you're welcome
Lakn kaka Darius kwa mwaka huu tcu bado hawajatoa lini tuanze kuomba kwa mwaka wa masomo 2014/2015 et au tayar zimeanza?
mbona kila nikitembelea web ya tcu hamna jipya?,jaman tujuzane tusije tukachelewa
mkuu irumba1 ile ya mwaka jana vipi?, nakumbuka tulikuwa wote mwaka jana kwenye kusubiri hizi post za tcu..............au HESLB walikuzingua? sisi wenzako ndo tunamaliza first year huku , all the best mkuu
mkuu mwaka jana nilipata st john Dar compus ila HESLB Wakanizingua na boss wangu kanitolea nje ila mwaka huu najaribu tena