John porter
Member
- Jul 8, 2013
- 65
- 28
Habari wanaJF.
Poleni na mihangaiko ya maisha, natanguliza shukran kwa kuchukua muda wako na kusoma uzi huu naomba msaada wa haya mambo mawili
1. Ni kozi ipi iko nzuri(marketable) na itanifaa kusoma kwa ufaulu huu
A) chet cha o'level
B) chet cha utunzaji kumbukumbu,
4.0 gpa
First class
C) Stashahada ya utunzaji wa kumbukumbu
3.5 gpa
Upper second
2. Je na apply vipi TCU
Poleni na mihangaiko ya maisha, natanguliza shukran kwa kuchukua muda wako na kusoma uzi huu naomba msaada wa haya mambo mawili
1. Ni kozi ipi iko nzuri(marketable) na itanifaa kusoma kwa ufaulu huu
A) chet cha o'level
B) chet cha utunzaji kumbukumbu,
4.0 gpa
First class
C) Stashahada ya utunzaji wa kumbukumbu
3.5 gpa
Upper second
2. Je na apply vipi TCU