Naona hauna msaada...na hauna cha maana cha kumsahauri zaidi umemtia wasiwasi...ningekuwa mm ni ww nisingecomment chochote..Hapo mimba inatishia kutoka Kuna dawa nimeisahau jina ingekusaidia kidonge kimoja kinauzwa alfu 15 na unatakiwa ununue doz nzima but nahic umechelewa kama Damu zmeanza kutoka !
Pole sana ndugu yangu, Mungu atakupa mwingineAsanten wapenzi wangu kwa kunitia moyo na ushauri mzuri mno, ila Jana nilijifungua kwa uchungu mkali mno huku nikijua akitoka hatokua na uhai ni pre mature bbygal she was pretty mno ila haikuwa ridhiki yangu naamini next time Mwenyezi Mungu atanipa mtoto wangu...Mungu awabariki sana
Daaah! Pole sana..Asanten wapenzi wangu kwa kunitia moyo na ushauri mzuri mno, ila Jana nilijifungua kwa uchungu mkali mno huku nikijua akitoka hatokua na uhai ni pre mature bbygal she was pretty mno ila haikuwa ridhiki yangu naamini next time Mwenyezi Mungu atanipa mtoto wangu...Mungu awabariki sana
Anaweza kuwa na homonal imbalance inawatokea sana wanwake wa leo kutokana na lifestyle zao. Kama ni hivo atumie supliment za kubalance homoniPole fettydia kwa hofu na wasiwasi ulionao juu ya dalili hatarishi kwa maendeleo ya mtoto aliye tumboni. Fuatilia maoni na ushauri murua wa wana JF na hapana shaka Mungu atakusaidia na hali itakuwa shwari.
Japo upo kwenye wasiwasi na hofu, naomba nami unifahamishe ni dawa gani ulitumia kukuponya maumivu ya tumbo na hatimaye kushika ujauzito? Umesema hapo kabla umesumbuliwa sana na maumivu ya tumbo mpaka ukahisi huna uwezo wa kushika ujauzito.
Mke wangu ana shida kama uliyokuwanayo wewe ya maumivu makali zaidi kuliko kawaida na suala la kushika ujauzito kwake limekuwa gumu licha kufanya vipimo na wote kuonekana hatuna tatizo.
Ahsante.