Naomba ushauri: Kati ya carina T.I na I.S.T. ni gari gani zuri zaidi?

Naomba ushauri: Kati ya carina T.I na I.S.T. ni gari gani zuri zaidi?

Hizo trick aliziweza baba yako kwa mama yako, you are nothing to get my wife.


Hongera kwa kurithi mbinu za zamani za mshua wako.
Hiyo ni shule nimekupa ambayo ungekuwa na hekima ungenipongeza Kwa kukuelimisha .hivi mwanaume anaye tamani kusifiwa uzuri na mwanaume mwenzake wewe unamwonaje bora mwanaume usifiwe uzuri na mwanamke.

Sasa wewe unadhani mm nimekuelimisha Kwa chuki la mm sina hata Gari ila niliona siyo vibaya nikupatie hekima Kwa kile unacho jisifia na kile unacho kidharau najua kiukweli kutoka moyoni mwako umejikosoa Kwa kiwango furani.
 
Hiyo ni shule nimekupa ambayo ungekuwa na hekima ungenipongeza Kwa kukuelimisha .hivi mwanaume anaye tamani kusifiwa uzuri na mwanaume mwenzake wewe unamwonaje bora mwanaume usifiwe uzuri na mwanamke...
imbecile
 
jamani, nani mwenye Carina Ti, aniuziye kwa Mkopo aisee. Nina shida nayo sana kwaajili ya biashara. zamana nitaacha nusu ya pesa, na kadi ya Gari.
 
Mngekuwa majiniasi mngewaeshimu sana wanaume wenye hivyo vigari mnavyo vidharau
Upo sahihi mkuu.

Ukiona mtu huku jf anaponda magari ya watu mara la kike mara baby walker ujue huyo hana gari...na kama analo hajui uchungu wa kulinunua..unaweza kuta amenunuliwa na shemeji yake ili dada yake aumizwe vizuri kitandani...au mshua wake kafa then amerithi..

Daima huwa namuheshimu mtu kwa kile alichonacho ilimradi awe amekitolea jasho...
 
kama mwonekano chukua IST 2nd generation 1.5L nzuri kwa safar ulaji wa mafuta pia mzuri japo bei ipo juu
 
upo sahihi mkuu..
Ukiona mtu huku jf anaponda magari ya watu mara la kike mara baby walker ujue huyo hana gari...na kama analo hajui uchungu wa kulinunua..unaweza kuta amenunuliwa na shemeji yake ili dada yake aumizwe vizuri kitandani...au mshua wake kafa then amerithi..

Daima huwa namuheshimu mtu kwa kile alichonacho ilimradi awe amekitolea jasho...
Lakini ni ukweli tu tunazungumza mkuu.

Mbona katika simu huwa mnawapooonda team tecno,karma is around the corner.unamng'ong'a wa tecno na kuna mtu mmekaa naye hapo akitafakari unatoshaje ktk vits na mwili wote huo!!!!!!bora le super mbebez anakaa katika Noah,ujue Noah ni kubwa sana mle ndani,kiasi unaweza ingiza simtank.

Hahaaaa mkuu ni kutafakari tu,sijakurenga wewe.
 
Mdogo wangu chukua hiyo T.I ila ukiwa na uwezo chukua nissan diesel utaenjoy sana
 
Lakini ni ukweli tu tunazungumza mkuu.

Mbona katika simu huwa mnawapooonda team tecno,karma is around the corner.unamng'ong'a wa tecno na kuna mtu mmekaa naye hapo akitafakari unatoshaje ktk vits na mwili wote huo!!!!!!bora le super mbebez anakaa katika Noah,ujue Noah ni kubwa sana mle ndani,kiasi unaweza ingiza simtank.

Hahaaaa mkuu ni kutafakari tu,sijakurenga wewe.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
They are all almost the same
Hivi mkuu unapoagiza gari toka Japan katika hizi km ni KM ngapi inakuwa bado ipo makini yaani minimum na maximum it means zisizidi KM kiasi fulani japo najua kuna uchezeaji wa odometer kwa wenzetu.Ahsanteh
 
Back
Top Bottom