Naomba ushauri katika hili la kununua gari

Naomba ushauri katika hili la kununua gari

Jovida

Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
8
Reaction score
2
Msaada nataka kununua gari isiyozidi 10m,ila gari ambayo inatumia mafuta kidogo, pia iko juu kwani barabara yangu ya kila siku ni rafu na iko vibaya sana mawe mingi.
 
Msaada nataka kununua gari isiyozidi 10m,ila gari ambayo inatumia mafuta kdgo,pia iko juu kwani barabara yangu ya kila siku ni rafu na iko vibaya sana mawe mingi.


BE FORWARD Tanzania
Dar es Salaam Office

Address: Palm Residency, Ground Floor
45-46 Chimara Road,
(Opposite Ocean Road Hospital),
Dar es Salaam, Tanzania

Office Hours:
Mon.-Fri.: 8:30AM - 5:30PM
Sat.: 8:30AM - 12:00PM

Tel.: +255 222 924 120

Email: tanzania@beforward.jp

See our Office Location

BE FORWARD Tanzania: Top Selling Cars, Clearing & Delivery Service, Tanzania Office
 
Chukua ushauri wa mdau hapo juu chukua Probox gari iko poa sana
 
Namaanisha gari ilonyanyuka kulingana na barabara nayotumia
Vigari vidogo vidogo vya bei hiyo vingi vinakua chini. Labda ununue Suzuki Swift, kiko juu kidogo japo delicate. IST imekaa vizuri, ila kama ni rough road saana, haifai kavile.
 
Msaada nataka kununua gari isiyozidi 10m,ila gari ambayo inatumia mafuta kdgo,pia iko juu kwani barabara yangu ya kila siku ni rafu na iko vibaya sana mawe mingi.
Mkuu njoo nikupe IST itakufaa sana
 
Back
Top Bottom