Naomba ushauri kilimo cha alizeti na mahindi

Naomba ushauri kilimo cha alizeti na mahindi

New HIZ O

Member
Joined
Jun 1, 2022
Posts
40
Reaction score
65
Mimi ni mkulima ninashamba la heka 20 kipi nilime kati ya mahindi na alizet ila ardhi yake ni kichaga
 
Si kila udongo wa kichanga ni mbaya. Kuna Kichanga chenye mchanganyiko na tifu tifu,mchanganyiko na mfinyanzi n.k Ni vema uende na Afisa kilimo shambani ili aone live!
 
Back
Top Bottom