New HIZ O Member Joined Jun 1, 2022 Posts 40 Reaction score 65 Dec 23, 2022 #1 Mimi ni mkulima ninashamba la heka 20 kipi nilime kati ya mahindi na alizet ila ardhi yake ni kichaga
Mimi ni mkulima ninashamba la heka 20 kipi nilime kati ya mahindi na alizet ila ardhi yake ni kichaga
relis JF-Expert Member Joined May 24, 2015 Posts 3,336 Reaction score 5,217 Dec 23, 2022 #2 Hapo labda upande karanga
Vitalis Msungwite JF-Expert Member Joined May 11, 2014 Posts 3,292 Reaction score 7,867 Dec 23, 2022 #3 Kama ni kichanga panda alizeti au gawanya hela 7 mahindi 13 alizeti. Lakini Kama utatumia mbolea unaweza kupanda zao Moja eneo lote
Kama ni kichanga panda alizeti au gawanya hela 7 mahindi 13 alizeti. Lakini Kama utatumia mbolea unaweza kupanda zao Moja eneo lote
New HIZ O Member Joined Jun 1, 2022 Posts 40 Reaction score 65 Dec 23, 2022 Thread starter #4 Vitalis Msungwite said: Kama ni kichanga panda alizeti au gawanya hela 7 mahindi 13 alizeti Click to expand... Ok nashukuru naendelea kupokea ushauri
Vitalis Msungwite said: Kama ni kichanga panda alizeti au gawanya hela 7 mahindi 13 alizeti Click to expand... Ok nashukuru naendelea kupokea ushauri
Kamgomoli JF-Expert Member Joined May 3, 2018 Posts 1,896 Reaction score 4,058 Dec 24, 2022 #5 Si kila udongo wa kichanga ni mbaya. Kuna Kichanga chenye mchanganyiko na tifu tifu,mchanganyiko na mfinyanzi n.k Ni vema uende na Afisa kilimo shambani ili aone live!
Si kila udongo wa kichanga ni mbaya. Kuna Kichanga chenye mchanganyiko na tifu tifu,mchanganyiko na mfinyanzi n.k Ni vema uende na Afisa kilimo shambani ili aone live!
karv JF-Expert Member Joined Dec 26, 2019 Posts 1,802 Reaction score 3,253 Jan 26, 2023 #6 New HIZ O said: Mimi ni mkulima ninashamba la heka 20 kipi nilime kati ya mahindi na alizet ila ardhi yake ni kichaga Click to expand... Pima udongo kwanza kujua yaliyomo
New HIZ O said: Mimi ni mkulima ninashamba la heka 20 kipi nilime kati ya mahindi na alizet ila ardhi yake ni kichaga Click to expand... Pima udongo kwanza kujua yaliyomo
Marashi JF-Expert Member Joined Apr 14, 2018 Posts 2,877 Reaction score 4,522 Jan 26, 2023 #7 Bang haistawi hapo?
Mashamba Makubwa Nalima JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 4,978 Reaction score 2,411 Nov 24, 2024 #8 Vitalis Msungwite said: Kama ni kichanga panda alizeti au gawanya hela 7 mahindi 13 alizeti. Lakini Kama utatumia mbolea unaweza kupanda zao Moja eneo lote Click to expand...
Vitalis Msungwite said: Kama ni kichanga panda alizeti au gawanya hela 7 mahindi 13 alizeti. Lakini Kama utatumia mbolea unaweza kupanda zao Moja eneo lote Click to expand...