Naomba ushauri: Kilimo cha kumwagilia Ruvu

uberimae fidei

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
2,679
Reaction score
4,283
Habari wakuu.naomba ushauri,ninazo heka mbili pembeni ya mto Ruvu.nilime zao gani la kumwagilia.Ambalo halichukuu muda mwingi kuvuna, pia kama kuna mtu atapenda tuunge pamoja nguvu anakaribishwa.maana ndo Mara ya kwanza kulima kwenye ardhi ya Ruvu.wazoefu naomba a, b,c
 
Wajuzi mje tupate majibu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mazao yapo mengi.unaweza hata kulima mahindi ya kuchoma ukavuna mabichi.
by the way.na mimi natafuta shamba kiasi kama hicho pembeni ya mto ruvu nifanye irrigation.naweza pata wapi shamba?
 
Mazao yapo mengi.unaweza hata kulima mahindi ya kuchoma ukavuna mabichi.
by the way.na mimi natafuta shamba kiasi kama hicho pembeni ya mto ruvu nifanye irrigation.naweza pata wapi shamba?
njoo pm tuzungumze
 
mie siyo mwenyeji sana na matumizi ya pm.kwa kifupi sijui namna ya kufanya.je waweza nipa namba yako hapa nikupigie?
 
lima tiktik best ingawa na mm si mzoefu sana ila hilo huchukua muda mfupi angalau kwa miezi miwili au zaidi
 
mie siyo mwenyeji sana na matumizi ya pm.kwa kifupi sijui namna ya kufanya.je waweza nipa namba yako hapa nikupigie?
Kusambaza namba yangu public hivi ngumu kidogo Mkuu.labda nikuelekeze namna ya kufika pm
 
Fuga kitimoto hutajuta
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…