Naomba ushauri kilimo cha Mitiki

Naomba ushauri kilimo cha Mitiki

Shaban kisimba

New Member
Joined
May 12, 2022
Posts
2
Reaction score
1
Habar naimani wote wazima,

Binafsi n mwanafunz wa mwaka watatu naelekea kuhitimu masomo yangu ya degree ya Kwanza, Ninaa malengo makubwa na kilimo cha miti hususan MITIKI nimejarbu kufatilia maeneo yanayopandwa sana mfno Korogwe na maeneo ya Morogoro.

Nimesoma expectation za cost na mauzo ambapo makala mbali mbali zinasema hekali Moja unapanda miti 400 maximum na kila mti after 15 to 20 years zaweza kupa laki 8 mbk million Kwa mti ambapo utapata kama mil 370+ hivi..

NAOMBA USHAUrI lakin pia naomba mwongozo hususani kupata mashamba, garama za awali"muhmu", mbegu Bora, na muhmu Zaid binadamu kusaidiana naomba kiongozi au mentor ambae anauelewa kunizidi mm, wanasema usimuombe mtu pesa, muombe ujuzi na maarifa.

NB: MITIKI nataka kulima Kwa ajili ya future watoto sana sana I'm 24 years nakalibisha ushauri wataalamu
 
Wengi wanaonaga inachukuw muda sana ila vzr Kwa uhamuzi huo
 
Shida hii nchi mitinutapanda wewe, utasafishia wewe, utapunguzia matawi wewe. Mwisho WA siku unaenda kujipigia magoti serikali!

Ila ni investment nzuri, zuia Moto Tu!
 
Habar naimani wote wazima,

Binafsi n mwanafunz wa mwaka watatu naelekea kuhitimu masomo yangu ya degree ya Kwanza, Ninaa malengo makubwa na kilimo cha miti hususan MITIKI nimejarbu kufatilia maeneo yanayopandwa sana mfno Korogwe na maeneo ya Morogoro.

Nimesoma expectation za cost na mauzo ambapo makala mbali mbali zinasema hekali Moja unapanda miti 400 maximum na kila mti after 15 to 20 years zaweza kupa laki 8 mbk million Kwa mti ambapo utapata kama mil 370+ hivi..

NAOMBA USHAUrI lakin pia naomba mwongozo hususani kupata mashamba, garama za awali"muhmu", mbegu Bora, na muhmu Zaid binadamu kusaidiana naomba kiongozi au mentor ambae anauelewa kunizidi mm, wanasema usimuombe mtu pesa, muombe ujuzi na maarifa.

NB: MITIKI nataka kulima Kwa ajili ya future watoto sana sana I'm 24 years nakalibisha ushauri wataalamu
NAOMBA MWONGOZO
 
1. mkuu pata shamba sehemu ambapo ni karibu kwako kuweza kulihudumia. kwa kuwa bado kipato. nunua shamba lenye chanzo cha maji. Hapo ndio wengi wasio na mitaji mikubwa wanapokosea. maana kuchimba au kutoa maji mbali ni gharama. pia paweze kufikika kwa maana ya miundombinu ya barabara.

2. Mradi wa miti ni mzuri. wakati unaendelea kupanda hiyo miti kuna maisha. Na weka mazao mengine. ikiwa ni mboga mbaga au mazao ya muda mfupi kama utaweza. kama itakiwa ngumu kwa sababu ya ufwatiliaji utakapomaliza wakati una muda fanya hivyo.

3. Weka chumba kimoja eneo hilo hata kama utaweka mtu akae bure. ni namna ya ulinzi na kuanza maisha.

4. Fikiria kuweka mazao mengine ya biashara kutokana na eneo husika ikiwa ni kama parachichi, macademia, papai, matunda etc.

5. kuweka miradi mingine inayokwenda sambamba mfano ufugaji wa nyuki na miti ni exellent au ufugaji wa samaki ikiwa uwezo na utaalamu unao.

6. ukipata upenyo hudhuria semina na mafunzo ya mambo hayo. jiunge uwe mwanacha wa TFS. huwa inatoa ufadhili ikiwa utaweza kuandika mradi, kuunda kikundi au umoja na wenzako na unaweza pia kushiriki kazi za taasisi za mambo unayokusudia kufanya.
 
1. mkuu pata shamba sehemu ambapo ni karibu kwako kuweza kulihudumia. kwa kuwa bado kipato. nunua shamba lenye chanzo cha maji. Hapo ndio wengi wasio na mitaji mikubwa wanapokosea. maana kuchimba au kutoa maji mbali ni gharama. pia paweze kufikika kwa maana ya miundombinu ya barabara.

2. Mradi wa miti ni mzuri. wakati unaendelea kupanda hiyo miti kuna maisha. Na weka mazao mengine. ikiwa ni mboga mbaga au mazao ya muda mfupi kama utaweza. kama itakiwa ngumu kwa sababu ya ufwatiliaji utakapomaliza wakati una muda fanya hivyo.

3. Weka chumba kimoja eneo hilo hata kama utaweka mtu akae bure. ni namna ya ulinzi na kuanza maisha.

4. Fikiria kuweka mazao mengine ya biashara kutokana na eneo husika ikiwa ni kama parachichi, macademia, papai, matunda etc.

5. kuweka miradi mingine inayokwenda sambamba mfano ufugaji wa nyuki na miti ni exellent au ufugaji wa samaki ikiwa uwezo na utaalamu unao.

6. ukipata upenyo hudhuria semina na mafunzo ya mambo hayo. jiunge uwe mwanacha wa TFS. huwa inatoa ufadhili ikiwa utaweza kuandika mradi, kuunda kikundi au umoja na wenzako na unaweza pia kushiriki kazi za taasisi za mambo unayokusudia kufanya.
Mitiki inakubali kustawi mkoani Kigoma, hasa wilayani Kakonko?
 
Back
Top Bottom