Naomba ushauri kitalu cha Pilipili hoho

Naomba ushauri kitalu cha Pilipili hoho

Habari zenu wapendwa,

Baada ya kushawishika na upandaji mbogamboga katik mazingira ya nyumbani, nimejaribu mboga kadha wa kadha nimeweza ila hohoho zinanishinda kuanzia kitalu,nimefanya attempts baada ya shauri kadha wa kadha ila nimeshindwa fanikisha.

1st time:
Niliambiwa kwa kitalu nitumie mbolea ya samadi na kitalu kisiwe mahala penye jua na nihakikishe unyevu full time.

Nilitumia kinyesi cha ng’ombe niliponda nikachekecha nikaiweka ivunde kwa kuimwagia maji then nikafanya kitalu.

Ila sikifanikisha.

2nd time:
Nikaambiwa ni vyema kuziloweka 24hrs then nifatehizo hatua za namba 1.
I did it ila nikafeli tena.

3rd time:
Nikabadili udongo.

4th time:
Nikabadili aina ya mbegu nikaenda kwa wauzaji tofauti na mbegu aina nyingi ni zile hoho za njano.

Je nini cha kufanya ili niweze kufikia lengo?

Nawasilisha.
.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wapendwa,

Baada ya kushawishika na upandaji mbogamboga katik mazingira ya nyumbani, nimejaribu mboga kadha wa kadha nimeweza ila hohoho zinanishinda kuanzia kitalu,nimefanya attempts baada ya shauri kadha wa kadha ila nimeshindwa fanikisha.

1st time:
Niliambiwa kwa kitalu nitumie mbolea ya samadi na kitalu kisiwe mahala penye jua na nihakikishe unyevu full time.

Nilitumia kinyesi cha ng’ombe niliponda nikachekecha nikaiweka ivunde kwa kuimwagia maji then nikafanya kitalu.

Ila sikifanikisha.

2nd time:
Nikaambiwa ni vyema kuziloweka 24hrs then nifatehizo hatua za namba 1.
I did it ila nikafeli tena.

3rd time:
Nikabadili udongo.

4th time:
Nikabadili aina ya mbegu nikaenda kwa wauzaji tofauti na mbegu aina nyingi ni zile hoho za njano.

Je nini cha kufanya ili niweze kufikia lengo?

Nawasilisha.
Mimi nilisumbuka mnooo miaka nenda miaka ila sasa nimepatia
Ni hivi kama sio mtaalam lazima ununue udogo ktk maduka ya dawa za mifugo.wanauza udongo mimi nilinunua udongo wa sh 4000.nikanunua na mbegu zangu za hoho nikapanda huwez amini ndani ya siku 5 tu zikaanza kuota bado zipo kitaluni.sasa juz nilitumia hoho za njano na nyekundu nazo zimeanza kuota ndan ya siku tatu tu .so shida kwako sio mbegu ni udongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilisumbuka mnooo miaka nenda miaka ila sasa nimepatia
Ni hivi kama sio mtaalam lazima ununue udogo ktk maduka ya dawa za mifugo.wanauza udongo mimi nilinunua udongo wa sh 4000.nikanunua na mbegu zangu za hoho nikapanda huwez amini ndani ya siku 5 tu zikaanza kuota bado zipo kitaluni.sasa juz nilitumia hoho za njano na nyekundu nazo zimeanza kuota ndan ya siku tatu tu .so shida kwako sio mbegu ni udongo

Sent using Jamii Forums mobile app

Asante nilishafanya hili na hakika nimefanikisha, shukran jazeera.
 
~Kwanza andaa kitalu sehemu yenye kivuli √

~Chukua udongo wako ukaange kwenye moto then acha upoe √

~Chukua samadi au mboji changanya na udongo halafu kuwa unamwagilia kama wiki 2 au 3 kabla ya kupanda√

~Utakapo sia mbegu kwenye kitalu usizifukie sana zitaweza shindwa kuchipua zikaozea kwenye udongo√

~Ukimaliza bakiza mbegu kidogo ili zisipoota ukawashitaki waliokuuzia mbegu kwamba ni feki√

Ukipata changamoto dm ipo wazi [emoji120]


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nilisumbuka mnooo miaka nenda miaka ila sasa nimepatia
Ni hivi kama sio mtaalam lazima ununue udogo ktk maduka ya dawa za mifugo.wanauza udongo mimi nilinunua udongo wa sh 4000.nikanunua na mbegu zangu za hoho nikapanda huwez amini ndani ya siku 5 tu zikaanza kuota bado zipo kitaluni.sasa juz nilitumia hoho za njano na nyekundu nazo zimeanza kuota ndan ya siku tatu tu .so shida kwako sio mbegu ni udongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Why ununue udongo wakati unaweza kuutengeneza mwenyewe ni simple tu

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nilisumbuka mnooo miaka nenda miaka ila sasa nimepatia
Ni hivi kama sio mtaalam lazima ununue udogo ktk maduka ya dawa za mifugo.wanauza udongo mimi nilinunua udongo wa sh 4000.nikanunua na mbegu zangu za hoho nikapanda huwez amini ndani ya siku 5 tu zikaanza kuota bado zipo kitaluni.sasa juz nilitumia hoho za njano na nyekundu nazo zimeanza kuota ndan ya siku tatu tu .so shida kwako sio mbegu ni udongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapatikana wapi mkuu? Kwa ukanda wa pwan huu udongo napata?
 
~Kwanza andaa kitalu sehemu yenye kivuli √

~Chukua udongo wako ukaange kwenye moto then acha upoe √

~Chukua samadi au mboji changanya na udongo halafu kuwa unamwagilia kama wiki 2 au 3 kabla ya kupanda√

~Utakapo sia mbegu kwenye kitalu usizifukie sana zitaweza shindwa kuchipua zikaozea kwenye udongo√

~Ukimaliza bakiza mbegu kidogo ili zisipoota ukawashitaki waliokuuzia mbegu kwamba ni feki√

Ukipata changamoto dm ipo wazi [emoji120]


Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Mbinu za kivita
 
Ungeweza nunua zile tray za kuoteshea, andaa udogo wako kisha uchanganye na samadi yeyote umwagilie maji na ugeuze geuze huo mchanganyiko kila siku baada ya wiki, weka udongo huo kwenye tray au viriba vile vyakuoteshea miti fukia kwa kiudongo kidogo sana kwa juu then kama utapata pumba za mpunga yaani yale maganda manene weka kwa juu mwagia maji mengi. Kisha ukiweza panga tray kwenye turubai zifunike kusiingie mwanga kabisa, baada ya siku tatu toa kisha endelea kumwagia maji
kwa keni kwa siku mara 3 zinahitaji unyevu hasa kikawaida hua zinachelewa kuota.
Nitajaribu na hii
 
Back
Top Bottom