Naomba ushauri kuhusu aina hii ya milango

Naomba ushauri kuhusu aina hii ya milango

albab

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
1,198
Reaction score
2,562
Nimekuwa nikiwaza kwa muda sasa namna ninavyoweza kuifanya baadhi ya milango ya ndani (ya mbao) isifunguke bali iwe ya kuslide tu mfano wa geti.

YouTube nikakuta kwa wenzetu wanaitumia sana kwani inasave space, lakini inatoa kero ya kufunga na kufungua.

Katika mawazo yangu ni kwamba kuwe na handle tu utakayoitumia kuusukuma mlango lakini pia nawaza namna ya kuweka komeo/lock au kitasa na kuwa unafungika.

Je, wazo langu linaweza kufanyiwa kazi na kama ndiyo, vifaa ntavipata wapi??

Nawasilisha
 
Inawezekana, vifaa nenda Kariakoo kama upo Dar...

Kitachoshindikana ni kama huo mlango utataka uwe 'pocket door', hii haitawezekana kwa sababu ujenzi wetu ni wa kutumia matofali...
 
Kwamba kero yako ni kufunga na kufungua mlango.! Aisee!!
 
Hiyo milango inawezekana kabisa nenda tu kwa fundi milango umwelezee atakutengenezea. Ni kama makabati yenye milango ya kuslide kanuni ni hiyo hiyo
Fundi awe ni fundi makini na anayejielewa
 
Inawezekana, vifaa nenda Kariakoo kama upo Dar...

Kitachoshindikana ni kama huo mlango utataka uwe 'pocket door', hii haitawezekana kwa sababu ujenzi wetu ni wa kutumia matofali...
Pocket door imekaaje baba
 
Hiyo milango inawezekana kabisa nenda tu kwa fundi milango umwelezee atakutengenezea. Ni kama makabati yenye milango ya kuslide kanuni ni hiyo hiyo
Fundi awe ni fundi makini na anayejielewa
nimechukua hili wazo asee
 
msaad
Inawezekana, vifaa nenda Kariakoo kama upo Dar...

Kitachoshindikana ni kama huo mlango utataka uwe 'pocket door', hii haitawezekana kwa sababu ujenzi wetu ni wa kutumia matofali...
a pocket doors
 
Pocket door imekaaje baba

Ni aina ya mlango unaofunguka kwa kuslide, kutumbukia na kujificha ndani ya ukuta (pande mbili za ukuta)...

Ni maarufu kwa nyumba za wazungu sababu nyingi zake huwa zimeundwa kwa mbao...

Kwa Tanzania ni ngumu sababu kuta zetu ni za tofali, huwezi kuacha uchochoro ambao utaufanya mlango uzame ndani wakati wa kuufungua...

albab

main-qimg-41f81c9ae3c45d1a9acc7a3d058d52b7-lq


1648845445381.png
 
Ni aina ya mlango unaofunguka kwa kuslide, kutumbukia na kujificha ndani ya ukuta (pande mbili za ukuta)...

Ni maarufu kwa nyumba za wazungu sababu nyingi zake huwa zimeundwa kwa mbao...

Kwa Tanzania ni ngumu sababu kuta zetu ni za tofali, huwezi kuacha uchochoro ambao utaufanya mlango uzame ndani wakati wa kuufungua...

albab

main-qimg-41f81c9ae3c45d1a9acc7a3d058d52b7-lq


View attachment 2172404
ahsante sana kaka
 
Nimekuwa nikiwaza kwa muda sasa namna ninavyoweza kuifanya baadhi ya milango ya ndani (ya mbao) isifunguke bali iwe ya kuslide tu mfano wa geti.

YouTube nikakuta kwa wenzetu wanaitumia sana kwani inasave space, lakini inatoa kero ya kufunga na kufungua.

Katika mawazo yangu ni kwamba kuwe na handle tu utakayoitumia kuusukuma mlango lakini pia nawaza namna ya kuweka komeo/lock au kitasa na kuwa unafungika.

Je, wazo langu linaweza kufanyiwa kazi na kama ndiyo, vifaa ntavipata wapi??

Nawasilisha
Picha iko wapi?
 
Ni aina ya mlango unaofunguka kwa kuslide, kutumbukia na kujificha ndani ya ukuta (pande mbili za ukuta)...

Ni maarufu kwa nyumba za wazungu sababu nyingi zake huwa zimeundwa kwa mbao...

Kwa Tanzania ni ngumu sababu kuta zetu ni za tofali, huwezi kuacha uchochoro ambao utaufanya mlango uzame ndani wakati wa kuufungua...

albab

main-qimg-41f81c9ae3c45d1a9acc7a3d058d52b7-lq


View attachment 2172404
Kumbe bado kuna mambo mengi siyafahamu😅
 
Nimekuwa nikiwaza kwa muda sasa namna ninavyoweza kuifanya baadhi ya milango ya ndani (ya mbao) isifunguke bali iwe ya kuslide tu mfano wa geti.

YouTube nikakuta kwa wenzetu wanaitumia sana kwani inasave space, lakini inatoa kero ya kufunga na kufungua.

Katika mawazo yangu ni kwamba kuwe na handle tu utakayoitumia kuusukuma mlango lakini pia nawaza namna ya kuweka komeo/lock au kitasa na kuwa unafungika.

Je, wazo langu linaweza kufanyiwa kazi na kama ndiyo, vifaa ntavipata wapi??

Nawasilisha

Huwezi panda mpunga kweny shamba la mihogo
 
Watu8 kaelezea kuhusu pocket doors ambayo kwetu ni ngumu...

JE uttoh2002 hiki kwenye picha kinashindikana???

images(1).jpg
 
Back
Top Bottom