justin mabula
New Member
- Jun 30, 2015
- 3
- 0
Naombeni Ushahuri, Nina mdogo wangu kapata fursa ya Kusomea Locomotive Driver (Dereva wa Treni) uko Tazara ambapo wataenda somea Huko Zambia kwa muda wa miaka Miwili cheti kilichotumika ni cha Form 4 na gharama za masomo na kila kitu inaweza fikia 5M
Je, Ndugu zangu kwa mnavyoiyona Shirika la Tazara Inalipa kweli?
Kutoa gharama zote hizo ukizingatia yeye ana degree ya Uhasibu au Anaenda kupoteza muda tena?
Je, Ndugu zangu kwa mnavyoiyona Shirika la Tazara Inalipa kweli?
Kutoa gharama zote hizo ukizingatia yeye ana degree ya Uhasibu au Anaenda kupoteza muda tena?