Naomba ushauri kuhusu bati bora na ambayo haipauki

hivi hii imekaaje Alaf kiwandan ni 470K per bando kwa wakala ni 450K
 
Bati ya ALAF na dragon, ipi bora, na ni ipi ambayo haipauki? Kama kuna anayejua kampunii nyingine, naomba ushauri. Na bei zake
Ni BATI ZA ALAF PEKEE NI NZITO HAZIPAUKI NA ZILE ZA SILVER YAANI CORRUGATED IRON SHEETS HAZIPATI KUTU ASILANI
 
hivi hii imekaaje Alaf kiwandan ni 470K per bando kwa wakala ni 450K
Hizo za kwa wakala huwenda sio za ALAF au Ni rejected kachanganya
BATI ZA ALAF NDIZO BATI BORA MKUU NINA UZOEFU NAZO TAKRIBANI MIAKA 27 NINAITUMIA NA SIJAONA NILIPO EZEKEA ZIMEPATA KUTU AU KUPAUKA
 
Kwenye TRONIC napigilia msumari hapo, hakuna kampuni ya vifaa vya umeme iliyo bora kama tronic. Kama ipo nitajie.
Kuna Philips na Osram hutajuta vifaa vyake mkuu, na bei ni juu kidogo.
 
Jaman namimi naomba msaada wa kujua bati kiboko Gage 28 bei gani kiwandan?na kiwandan kipo wapi hapa Dar?naomba msaada
 
Tayari ushasema kampuni mpya halafu umeshaipa warrant kuwa wako vizuri zaidi ya ALAF... Umeezekea bati zao lini na zina muda gan?
 

Hiyo Ando ina miaka 10+ na katika kampuni zenye bati quality ni hao jamaa, nimewahi fanya nao kazi, mfano mzuri wameezeka Chamwino Ikulu. fanya research utakuja kuprove, as for ALAF wako poa pia ila kwa hawa wachina wana probability ya 50/50 kwa ubora unaeza pata quality au ukachemsha
 
Habari kiongozi,wewe ni mhusika wa hizo Bati? maana sijawahi kusikia popote zikitajwa na mafundi wa humu jukwaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…