Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wana namna yao wanafaham namna ya kuwalinda mawakala waohivi hii imekaaje Alaf kiwandan ni 470K per bando kwa wakala ni 450K
Ni BATI ZA ALAF PEKEE NI NZITO HAZIPAUKI NA ZILE ZA SILVER YAANI CORRUGATED IRON SHEETS HAZIPATI KUTU ASILANIBati ya ALAF na dragon, ipi bora, na ni ipi ambayo haipauki? Kama kuna anayejua kampunii nyingine, naomba ushauri. Na bei zake
Hizo za kwa wakala huwenda sio za ALAF au Ni rejected kachanganyahivi hii imekaaje Alaf kiwandan ni 470K per bando kwa wakala ni 450K
Mkuu acha utani labda Kama Ni mtumishi huko. BATI NI ALAFNunua bati za GSM...
Wapi zinapatikana!?Dragon g 30 12000 kwa meter, 14500 kwa g 28View attachment 1692605
Nenda mbeya mjini wapo watu wa Alaf watakuuzia mabati bora kabisa nawe utafurahiMimi niko vwawa mbozi mkoa wa songwe hakuna kiwanda nitafanyaje mkuu.
Kuna Philips na Osram hutajuta vifaa vyake mkuu, na bei ni juu kidogo.Kwenye TRONIC napigilia msumari hapo, hakuna kampuni ya vifaa vya umeme iliyo bora kama tronic. Kama ipo nitajie.
Nakazia hapa, tunaomba kujua bei kwa hizo bundle na bundle zinakaa idadi kiasi gani.Wazee mngeweka na bei ingekuwa magoli kweli..
Kwa gauge 28 na 32
Nahisi ni njia ya itv ndo kuna kiwanda hichoJaman namimi naomba msaada wa kujua bati kiboko Gage 28 bei gani kiwandan?na kiwandan kipo wapi hapa Dar?naomba msaada
Tayari ushasema kampuni mpya halafu umeshaipa warrant kuwa wako vizuri zaidi ya ALAF... Umeezekea bati zao lini na zina muda gan?Kila mtu amekariri Alaf na Dragon kama jins watu wengi wanavyoamini kampuni ya Tronic ndio inavifaa bora pekee vya umeme.
Tusikariri vitu,, kuna kampuni mpya ya bati inaitwa POLARIS iko poa kinoma na unachukua mzigo kiwandani pia bei iko vizuri sana, bati imara sana aiseee.
Kiwanda cha sunshare kipo wapi?Ok, kumbe dragon,sunshire na alaf wote wananunua sheet zenye rangi na kuzikunja tu, but alaf wamebakia na jina kuu
Kwa hapa bongo kampuni ni
1: Alaf (nime zi piga sana hazina shida)
2: Sunshare(wako vizuri mno wamezidiana umaarufu tu na Alaf)
3: Kiboko (hawa jamaa wako vizuri ila kunamwaka waliingiziwa material fake hii ndo iliwachafulia jina
4: Sunder(nao hawapo nyuma bati zao nzuri ila kwenye gauge changamoto kidogo)
5: Hando (tangu ianze kutumika Tanzania haina muda mrefu kwahiyo bado sijaona ubora wao mana hata miaka mitatu bado)
6: Bati bomba sijazitumia sanaa
Bando inakaa bati ngap???hivi hii imekaaje Alaf kiwandan ni 470K per bando kwa wakala ni 450K
Habari kiongozi,wewe ni mhusika wa hizo Bati? maana sijawahi kusikia popote zikitajwa na mafundi wa humu jukwaani.Kila mtu amekariri Alaf na Dragon kama jins watu wengi wanavyoamini kampuni ya Tronic ndio inavifaa bora pekee vya umeme.
Tusikariri vitu,, kuna kampuni mpya ya bati inaitwa POLARIS iko poa kinoma na unachukua mzigo kiwandani pia bei iko vizuri sana, bati imara sana aiseee.