Naomba ushauri kuhusu Biashara ya Bajaji

Naomba ushauri kuhusu Biashara ya Bajaji

Mie naona tunawalaumu vijana pasipo kuwa na misimamo na kazi yako hizo bajaj ziache njia ya mbagala ila Jenna misimamo na kazi yako vijana wanatakiwa wewe ndo uwaongoze jinsi gani unataka kazi yako if anyone tofauti na hvyo kazi imemshinda
Nakupm Kaka
 
Mie naona tunawalaumu vijana pasipo kuwa na misimamo na kazi yako hizo bajaj ziache njia ya mbagala ila Jenna misimamo na kazi yako vijana wanatakiwa wewe ndo uwaongoze jinsi gani unataka kazi yako if anyone tofauti na hvyo kazi imemshinda
Kweli mkuu
 
Bila usimamizi madhubuti ni tatizo maana kwa madereva wasio waaminifu wanakubambikia matengenezo feki, wengine hata wanabadilisha vipuri n.k
Ukisema madhubuti unamaanisha nini? Madhubuti inakuaje?. Hawa jamaa bajaji wamempa Mfanyakazi mmoja kama Mfanyakazi mkuu asimamie wenzie. Bajaji zinalala mbande wenye kikundi hawakai mbande
 
Vijana wameua kwa maksudi kabisaa,, yani bajaji ununue mpya, ndani ya mwaka hazitamaniki??? Mmhhhh au barabara mbovu,,huko kuna barabara nyingi za vumbi.... Njoo upige kazi..zakhem darlive pale kwenda kkoo.. fasta unapata pesa mzuri.
 
Pole mkuu, mi nilifumania pesa mwezi wa tatu nikapata bajaji marejesho 20k, nakumbuka pesa ilirejeshwa kwa siku 15 pekee baada ya hapo ikawa marejesho 15k kwa tabu sana.ikabidi Niiuze baada ya kuona mambo yanaenda kufeli, Nikatafuta mwanasheria nikaingia mfukoni akaandika mkataba wa pikipiki, nikaanza na pikipiki 2 mwezi wa sita mwaka huu, sina masihala kabisa na kazi yangu. Mpaka sasa napikipiki nne na mkataba unafuatwa, mkataba unaotambulisha kazi ya boda kama kazi zingine rasmi. Ukicheka na nyani...., ushauri wangu uza hizo bajaji hata mbili baada ya kuwa umezikarabati, then nunua boda afu tafuta vijana wape mkataba halafu JIZIME DATA
 
Vijana wameua kwa maksudi kabisaa,, yani bajaji ununue mpya, ndani ya mwaka hazitamaniki??? Mmhhhh au barabara mbovu,,huko kuna barabara nyingi za vumbi.... Njoo upige kazi..zakhem darlive pale kwenda kkoo.. fasta unapata pesa mzuri.
Mkuu nakuja je hapo. Hebu nisaidie Kaka. Nimenasa hoja ya kwanza hawa jamaa mm nimeona a nao Leo. Wanyang'anywe hizi bajaji sio watu sahihi
 
Pole mkuu, mi nilifumania pesa mwezi wa tatu nikapata bajaji marejesho 20k, nakumbuka pesa ilirejeshwa kwa siku 15 pekee baada ya hapo ikawa marejesho 15k kwa tabu sana.ikabidi Niiuze baada ya kuona mambo yanaenda kufeli, Nikatafuta mwanasheria nikaingia mfukoni akaandika mkataba wa pikipiki, nikaanza na pikipiki 2 mwezi wa sita mwaka huu, sina masihala kabisa na kazi yangu. Mpaka sasa napikipiki nne na mkataba unafuatwa, mkataba unaotambulisha kazi ya boda kama kazi zingine rasmi. Ukicheka na nyani...., ushauri wangu uza hizo bajaji hata mbili baada ya kuwa umezikarabati, then nunua boda afu tafuta vijana wape mkataba halafu JIZIME DATA
Bajaj hizi kadi zipo manispaa mpaka deni liishe. Zimenunuliwa Kwa mkopo wa proposal ya kikundi.
 
Ukisema madhubuti unamaanisha nini? Madhubuti inakuaje?. Hawa jamaa bajaji wamempa Mfanyakazi mmoja kama Mfanyakazi mkuu asimamie wenzie. Bajaji zinalala mbande wenye kikundi hawakai mbande
Kwa mfano, bajaj imeharibika halafu imepelekwa gereji, je huyo msimamizi ambaye naye ni dereva wa bajaj nyingine, ambaye naye anapaswa awaletee hesabu, sasa atafanya lipi hapo?! Atasimamia bajaj nyingine itengenezwe vema ama ataendesha yake apate hesabu?!
 
Kwa mfano, bajaj imeharibika halafu imepelekwa gereji, je huyo msimamizi ambaye naye ni dereva wa bajaj nyingine, ambaye naye anapaswa awaletee hesabu, sasa atafanya lipi hapo?! Atasimamia bajaj nyingine itengenezwe vema ama ataendesha yake apate hesabu?!
Bajaji ikiharibika anakuja kusimamia itengenezwe ni huyu mwenye kiti wa kikundi. Sasa hivi ndo tumetoa gereji kumalizia bajaji ya pili na mwenye kiti.
 
Mkuu mwaka tu bajaji imekuwa kama soksi? Mm siamini katika hili mbona wengine wanafany hii biashara
Uendashaji mbaya. Chombo chochote ili kidumu ni lazima kitunzwe.

Vijana wengi sio wastaarabu kwenye kulinda / kutunza bajaji ,pikipiki, gari n.k.

Bajaji ukiiendesha mmliki inadumu sana hata kama barabara ni mbaya.

Jambo jingine ninalofikiria kwa mujibu wa maelezo yako ni kutokuwa waaminifu miongoni mwenu wanakikundi.

Iliwahi tokea kwa jamaa zangu walikuwa kikundi wakakopeshwa pikipiki. Aliyekuwa mwekiti wao akawa na tabia ya kufungua vifaa vipya na kufunga vilivyochoka kwenye pikipiki za kikundi halafu zile mpya anafunga kwenye pikipiki alizokuwa anamiliki yeye peke yake. Walikuja kushtukia mchezo kwa kuchelewa sana ukatokea ugomvi kikundi kikafa na biashara iliparaganyika.

Ngozi nyeusi tuna shida kubwa sana hasa ya ubinafsi .....nadhani hii ipo kwenye DNA
 
Back
Top Bottom