Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Duh asee guta ndio target yangu january nilinunue, nimeambiwa imara ni wanhoo, hebu nipe abc zake kabla sijaghairi kulinunua.Biashara ya vyombo vya usafiri ni ngumu,mi ninalo guta nimejionea mwenyew hii biashara ilivyo,siwez kumshauri mtu achukue 6 mil zake anunue hili dude
Vyombo vya usafiri inatakiwa ndani ya mwaka mmoja kiwe kimerudisha hela tofauti na hapo utakuwa umeliwa kama kila siku kitakuwa kipo barabarani
Hv vyombo vya usafiri hasa vya kichina baada ya mwaka mmoja kila kitu huwa kinaisha isipokuwa block engine
Hili dude nimeamua kuwa dereva mwenyewe,napiga kazi mara moja moja,kwasasa linaweza kumaliza mpaka miezi miwili pasipo tatzo nabadili oil tu
Kiukwel haya madude inatakiwa kuwa nalo makini sana,mimi nina guta kampuni ya TOYO cc200Duh asee guta ndio target yangu january nilinunue, nimeambiwa imara ni wanhoo, hebu nipe abc zake kabla sijaghairi kulinunua.
Dahh aisee yaliyokukuta wewe, ndo yaliyonikuta mimi, mimi sina hamu na hayo madude, lipo langu nilinunua 2019 mwenz wa 8... Mwaka jana mwenz kama huu wa 12, ikabid tu ninunue engine mpya..ndo hadi sasa linafanya kazi ila body imekufa kbsa, ikitembea makelele tupu..!! Ila nimejifunza meng na hayo madude changamoto zake zimekua fundisho kubwa kwangu, kama mwenyewe una nafasi ni bora uendeshe mwenyewe kwa kijijin litakulipa vibaya sana, ila ukimpa dereva mnagawana tu,Biashara ya vyombo vya usafiri ni ngumu,mi ninalo guta nimejionea mwenyew hii biashara ilivyo,siwez kumshauri mtu achukue 6 mil zake anunue hili dude
Vyombo vya usafiri inatakiwa ndani ya mwaka mmoja kiwe kimerudisha hela tofauti na hapo utakuwa umeliwa kama kila siku kitakuwa kipo barabarani
Hv vyombo vya usafiri hasa vya kichina baada ya mwaka mmoja kila kitu huwa kinaisha isipokuwa block engine
Hili dude nimeamua kuwa dereva mwenyewe,napiga kazi mara moja moja,kwasasa linaweza kumaliza mpaka miezi miwili pasipo tatzo nabadili oil tu
Engine zake ni bei gani,maana sahv navyolitumia mimi mwenyew naamin nikipata engine mpya litatulia kabisa,mimi nililichukua 2020 mpaka sasa body liko vizurDahh aisee yaliyokukuta wewe, ndo yaliyonikuta mimi, mimi sina hamu na hayo madude, lipo langu nilinunua 2019 mwenz wa 8... Mwaka jana mwenz kama huu wa 12, ikabid tu ninunue engine mpya..ndo hadi sasa linafanya kazi ila body imekufa kbsa, ikitembea makelele tupu..!! Ila nimejifunza meng na hayo madude changamoto zake zimekua fundisho kubwa kwangu, kama mwenyewe una nafasi ni bora uendeshe mwenyewe kwa kijijin litakulipa vibaya sana, ila ukimpa dereva mnagawana tu,
Mkuu ulikosea sana,tena sana.Wakuu Habari ya muda huu. Naombeni msaada mwenye uzoefu wa biashara hii ya Bajaji atushauri. Time nunua Bajaji 5 mwaka 2021.
Na mpaka Sasa zimefanikiwa kufanya kazi mwaka 1 na miez 5 tu. Bajaji hizi zimekumbana na misukosuko ya Kuhitaji matengenezo na service Mara kadhaa mpaka Sasa Hali ni mbaya na deni la kulipa bado ni kubwa. Zimefanikiwa kulipa nusu ya deni lote. Tufanyeje wakuu?
Wenye uzoef biashara hii mnaifanyaje?
View attachment 2462450
Mkopo wa kukomboa vijana. Bajaj tu wanyonge ndo mlie Kam hivyo?. Sisi wenyew wanyonge ndo mana tukapataNimeona hizo pikipiki ni mkopo kutoka manispaa je kuna dhamana yoyote mliweka
Kama hakuna dhamana bas hizo pikipiki kodi za wanyonge wenzenu mtakuwa mmezifisadi maana hakuna atakayejali
DsmUpo mkoaaa gani mkuu
Mkuu boda zliandikiwa proposal na mkopo ukatoka. Tulitk kuchenji plan tuziuze kadi zipo manispaaMkuu ulikosea sana,tena sana.
Unanunua bajaji 5 tena kwa mkopo hiyo ni kujitafutia presha.
Hiyo moja yenyewe ukiwa nayo ni presha saa zote kuhusu usalama wa chombo,ongeza na usumbufu wa dereva.
Ilitakiwa uombe ushauri kabla hujanunua sio kuomba ushauri sasa hivi wakati maji yako shingoni.
Hamna dhamana yoyote mliyoweka ndio maana hakuna anayezijaliMkopo wa kukomboa vijana. Bajaj tu wanyonge ndo mlie Kam hivyo?. Sisi wenyew wanyonge ndo mana tukapata
Kumwaga oil ni 2weekly kwa uzoefu niliona, labda kama kuna wataalamu wa Mechanical humu watusaidieHili niliambiwa kumwaga oil kila wiki
Huo mkopo ni wa muda gani..?Hii biashara Kuna kikundi cha vijana wenzangu wamepata mkopo Kwa proposal. Sasa suala lipo kwenye utaalam wa kuendesha biashara hii.
Toka nimerudi hapa wamenisimulia na nimeona niwasaidie kutafuta wadau Kwa mana hawatoboi kulipa deni. Hesabu zimeshuka na Bajaji 3 zote ziko chaka, moja ndo I Epona Leo na nyingine ilipo a wiki iliyopita.
Wamefanikiwa kununua pikipiki mbili ndo zinasidia kulipa marejesho. Wanatakiwa kulipa mil 2 kila mwezi.
Kwa bajaji mpya kama dereva mzuri, Barbara ya lami kila service maximum 35,000@kwa kila bajaji. Na hii inafanyika kila baada ya siku 14 (once in 2weeks).Hili niliambiwa kumwaga oil kila wiki
yani mkuu vijana mda mwingine hatuna exposuresKumwaga oil ni 2weekly kwa uzoefu niliona, labda kama kuna wataalamu wa Mechanical humu watusaidie
Ilibid deni liishe Kwa miaka mi2Huo mkopo ni wa muda gani..?