Naomba ushauri kuhusu biashara ya Barbershop (Kinyozi)

Naomba ushauri kuhusu biashara ya Barbershop (Kinyozi)

Machache niyajuawayo kuhusu biashara ya barber shop.
1.hakikisha location iko vizuri(sehemu yenye movement ya watu)

2.kua mvumilivu sio umefungua biashara mwezi mmoja tu tayari Usha anza kulalamika biashara ngumu, mara hakuna wateja, saloon ni tofauti kbs na biashara nyingine kwani ukuaji wake ni taratibu. Pia mpaka watu wapate uhakika wa ubora wa huduma unayoitoa sana sana kwenye unyoaji, mtu hawezi kukurupuka tu kuja kunyoa kwako.

3.epuka kubadilisha vinyozi mara kwa mara hasa ukipata kinyoz fundi( hili zingatia)

4. Saloon iweke kiviwango sio kama genge la wahuni, utakimbiza wateja wanaojitambua na hao ndo wenye pesa nzuri .

5.usafi, aisee hapa kazia sana.pia ubora wa vifaa unavyotumia ni jambo la kuangalia sana, kama ni mashine za kunyoa nunua mashine nzuri mteja akinyoa ainjoi sio mteja aone kero. Achana na mashine za bei poa zisizo na ubora, mashine ikinyoa kichwa kimoja inachemka kama hita.

6. Kama ndo unaanza angalia zaidi kuhusu kukuza na kuipanua biashara Yako kuliko kuwa na mawazo ya kuibiwa na kinyozi, mbane kinyozi awe msafi, atoe huduma nzuri, care kwa wateja, usafi wa ofsi, awe msikivu kwa wateja n.k

7. Mwamini kinyozi wako.
8. Hakikisha unapata kinyozi/ vinyozi mafundi kweli kweli sio vinyozi wa kujifunzia kwenye vichwa vya wateja, itakula kwako.

9.kuhusu hesabu, kuwa mtu wa kufuatilia sana hiyo biashara na ushauri ni kwamba mpangie hesabu kinyozi wako akupe kwa wiki baada ya wewe kuusoma mchezo inavyoenda. Usikubali kabisa kugawana na kinyozi kinachopatikana utaumia, we mpangie hesabu then endelea na maisha mengine ya utafutaji wa maisha. Anyway Nimecheka ku- type lkn yapo mengi ya kuzingatia
 
Machache niyajuawayo kuhusu biashara ya barber shop.
1.hakikisha location iko vizuri(sehemu yenye movement ya watu)

2.kua mvumilivu sio umefungua biashara mwezi mmoja tu tayari Usha anza kulalamika biashara ngumu, mara hakuna wateja, saloon ni tofauti kbs na biashara nyingine kwani ukuaji wake ni taratibu. Pia mpaka watu wapate uhakika wa ubora wa huduma unayoitoa sana sana kwenye unyoaji, mtu hawezi kukurupuka tu kuja kunyoa kwako.

3.epuka kubadilisha vinyozi mara kwa mara hasa ukipata kinyoz fundi( hili zingatia)

4. Saloon iweke kiviwango sio kama genge la wahuni, utakimbiza wateja wanaojitambua na hao ndo wenye pesa nzuri .

5.usafi, aisee hapa kazia sana.pia ubora wa vifaa unavyotumia ni jambo la kuangalia sana, kama ni mashine za kunyoa nunua mashine nzuri mteja akinyoa ainjoi sio mteja aone kero. Achana na mashine za bei poa zisizo na ubora, mashine ikinyoa kichwa kimoja inachemka kama hita.

6. Kama ndo unaanza angalia zaidi kuhusu kukuza na kuipanua biashara Yako kuliko kuwa na mawazo ya kuibiwa na kinyozi, mbane kinyozi awe msafi, atoe huduma nzuri, care kwa wateja, usafi wa ofsi, awe msikivu kwa wateja n.k

7. Mwamini kinyozi wako.
8. Hakikisha unapata kinyozi/ vinyozi mafundi kweli kweli sio vinyozi wa kujifunzia kwenye vichwa vya wateja, itakula kwako.

9.kuhusu hesabu, kuwa mtu wa kufuatilia sana hiyo biashara na ushauri ni kwamba mpangie hesabu kinyozi wako akupe kwa wiki baada ya wewe kuusoma mchezo inavyoenda. Usikubali kabisa kugawana na kinyozi kinachopatikana utaumia, we mpangie hesabu then endelea na maisha mengine ya utafutaji wa maisha. Anyway Nimecheka ku- type lkn yapo mengi ya kuzingatia
umenifungua sana mkuu, shukrani!
 
Kuna saloon moja iko kahama hapa,

Jamaa kunyoa kichwa 3000 huwa nanyoaga nywele hapo, wana vinyozi wa 2 na wadada wa kazi wa 4 hesabu kwa siku inafika 100,000 sasa sijui wanalipana vipi ila mwenye saloon kafunga kamera 2 kila upande. kila mwisho wa wiki anakuja mapema kuhesabu vichwa kweny monitor alafu anadai chake.
ni biashara ambayo ukipata location nzuri ina hela
 
Sasa umeifungua bila kuwekea plan na hujaizingatia wewe umefungua tu.

Halafu hiyo biashara nikubwa kiasi gani? Maana unaweza kusema barbershop kumbe ni ndogo ,kubwa ni set yenye Vito 6 vya kuonyelewa kila moja na mashine yake , kweli . Mie najua biashara sana ila siwezi mpa mtu wa huku mikakati it's useles baadae naitwa dume
 
ni biashara ambayo ukipata location nzuri ina hela
Saloon ina pesa sana then ni biashara ambayo haikubani sana kama ukijua kuiset vzr, inakuruhusu kuiendesha huku wewe ukiendelea na mambo yako mengine.
Binafsi huu ni mwaka wa Saba naifanya hii biashara na nilianza kwa udogo sana, lkn sasa hivi biashara imepanuka sana. Sijawahi kubadilisha vinyozi ktk salon zangu zote, nimewaachia waendeshe ofsi lkn Kuna sehemu nawabana ili ofsi ziendelee kujiendesha ki ufanisi.

Watu wengi wanaoshindwa biashara hii wanakujaga kuniuliza Mimi nimewezaje kuimudu sector hivyo ilihali wao wanaiona kama biashara kichaa? Imewashinda kbs?

Ni vipi nimeweza kudumu na vinyozi kwa muda wote huo ilihali vinyozi wengi ni pasua kichwa( kiufupi vinyozi ndo hua chanzo Cha kuua biashara)
 
Saloon ina pesa sana then ni biashara ambayo haikubani sana kama ukijua kuiset vzr, inakuruhusu kuiendesha huku wewe ukiendelea na mambo yako mengine.
Binafsi huu ni mwaka wa Saba naifanya hii biashara na nilianza kwa udogo sana, lkn sasa hivi biashara imepanuka sana. Sijawahi kubadilisha vinyozi ktk salon zangu zote, nimewaachia waendeshe ofsi lkn Kuna sehemu nawabana ili ofsi ziendelee kujiendesha ki ufanisi.

Watu wengi wanaoshindwa biashara hii wanakujaga kuniuliza Mimi nimewezaje kuimudu sector hivyo ilihali wao wanaiona kama biashara kichaa? Imewashinda kbs?

Ni vipi nimeweza kudumu na vinyozi kwa muda wote huo ilihali vinyozi wengi ni pasua kichwa( kiufupi vinyozi ndo hua chanzo Cha kuua biashara)
unawabana vipi mkuu hapo ndo pananiletea shida sana
 
Sasa umeifungua bila kuwekea plan na hujaizingatia wewe umefungua tu.

Halafu hiyo biashara nikubwa kiasi gani? Maana unaweza kusema barbershop kumbe ni ndogo ,kubwa ni set yenye Vito 6 vya kuonyelewa kila moja na mashine yake , kweli . Mie najua biashara sana ila siwezi mpa mtu wa huku mikakati it's useles baadae naitwa dume
plan ipo nahitaji fresh ideas kutoka kwa wazoefu, nakaribisha mawazo yako mkuu kwangu there is no useless information
 
Sasa umeifungua bila kuwekea plan na hujaizingatia wewe umefungua tu.

Halafu hiyo biashara nikubwa kiasi gani? Maana unaweza kusema barbershop kumbe ni ndogo ,kubwa ni set yenye Vito 6 vya kuonyelewa kila moja na mashine yake , kweli . Mie najua biashara sana ila siwezi mpa mtu wa huku mikakati it's useles baadae naitwa dume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Machache niyajuawayo kuhusu biashara ya barber shop.
1.hakikisha location iko vizuri(sehemu yenye movement ya watu)

2.kua mvumilivu sio umefungua biashara mwezi mmoja tu tayari Usha anza kulalamika biashara ngumu, mara hakuna wateja, saloon ni tofauti kbs na biashara nyingine kwani ukuaji wake ni taratibu. Pia mpaka watu wapate uhakika wa ubora wa huduma unayoitoa sana sana kwenye unyoaji, mtu hawezi kukurupuka tu kuja kunyoa kwako.

3.epuka kubadilisha vinyozi mara kwa mara hasa ukipata kinyoz fundi( hili zingatia)

4. Saloon iweke kiviwango sio kama genge la wahuni, utakimbiza wateja wanaojitambua na hao ndo wenye pesa nzuri .

5.usafi, aisee hapa kazia sana.pia ubora wa vifaa unavyotumia ni jambo la kuangalia sana, kama ni mashine za kunyoa nunua mashine nzuri mteja akinyoa ainjoi sio mteja aone kero. Achana na mashine za bei poa zisizo na ubora, mashine ikinyoa kichwa kimoja inachemka kama hita.

6. Kama ndo unaanza angalia zaidi kuhusu kukuza na kuipanua biashara Yako kuliko kuwa na mawazo ya kuibiwa na kinyozi, mbane kinyozi awe msafi, atoe huduma nzuri, care kwa wateja, usafi wa ofsi, awe msikivu kwa wateja n.k

7. Mwamini kinyozi wako.
8. Hakikisha unapata kinyozi/ vinyozi mafundi kweli kweli sio vinyozi wa kujifunzia kwenye vichwa vya wateja, itakula kwako.

9.kuhusu hesabu, kuwa mtu wa kufuatilia sana hiyo biashara na ushauri ni kwamba mpangie hesabu kinyozi wako akupe kwa wiki baada ya wewe kuusoma mchezo inavyoenda. Usikubali kabisa kugawana na kinyozi kinachopatikana utaumia, we mpangie hesabu then endelea na maisha mengine ya utafutaji wa maisha. Anyway Nimecheka ku- type lkn yapo mengi ya kuzingatia
No 4, 5, 6, 8 azingatie sanaaaaa.
 
malengo yasiwe chini ya 20k kwa siku, zaidi ya 7 kwa siku
Kumvutia mteja au wateja ni jinsi ya kuwapokea vizuri na kuwaongelesha kijanja wafanye vya ziada kama akishanyolewa unamshauri aoshwe,afanye scrub , halafu massage hapo utaingiza chapaa ila kama hamuna massage basi aoshe kucha na kuzishape vizuri ukimpata mwanadada mremboi hapo biashara itakuwa vizuri
 
Kumvutia mteja au wateja ni jinsi ya kuwapokea vizuri na kuwaongelesha kijanja wafanye vya ziada kama akishanyolewa unamshauri aoshwe,afanye scrub , halafu massage hapo utaingiza chapaa ila kama hamuna massage basi aoshe kucha na kuzishape vizuri ukimpata mwanadada mremboi hapo biashara itakuwa vizuri
bless sana mkuu
 
Saloon ina pesa sana then ni biashara ambayo haikubani sana kama ukijua kuiset vzr, inakuruhusu kuiendesha huku wewe ukiendelea na mambo yako mengine.
Binafsi huu ni mwaka wa Saba naifanya hii biashara na nilianza kwa udogo sana, lkn sasa hivi biashara imepanuka sana. Sijawahi kubadilisha vinyozi ktk salon zangu zote, nimewaachia waendeshe ofsi lkn Kuna sehemu nawabana ili ofsi ziendelee kujiendesha ki ufanisi.

Watu wengi wanaoshindwa biashara hii wanakujaga kuniuliza Mimi nimewezaje kuimudu sector hivyo ilihali wao wanaiona kama biashara kichaa? Imewashinda kbs?

Ni vipi nimeweza kudumu na vinyozi kwa muda wote huo ilihali vinyozi wengi ni pasua kichwa( kiufupi vinyozi ndo hua chanzo Cha kuua biashara)
Toa ushauri hapa jinsi ya kuendesha hii biashara mkuu
 
Back
Top Bottom