Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 878
- 1,511
Nishatoa ushauri mkuu fatilia comment za kwanza kwanzaToa ushauri hapa jinsi ya kuendesha hii biashara mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishatoa ushauri mkuu fatilia comment za kwanza kwanzaToa ushauri hapa jinsi ya kuendesha hii biashara mkuu
Ww unatumia njia gani kupata vinjozi mana wengi wakisikia saloon ndio inaanza wanakwepa wanataka iliyochangamka hawataki kujitafuta kweny saloon mpyaNishatoa ushauri mkuu fatilia comment za kwanza kwanza
Bila shaka hiyo ni saluni na sio barbershop .Habarini wanajamvi,
Mimi ni kijana ambae nimeingia kwenye biashara ya Barbershop (haijakamilisha mwezi lakini inaniumiza kichwa) biashara ipo Mbeya.
Naombeni ushauri jinsi ya kusimamia ili niweze kupata faida kubwa, kuziba mianya ya janja janja, huduma gani za kitofauti za kutoa ili kuvutia wateja na namna ya kufanya makadirio kwa siku.
Nawasilisha, asanteni
Wazo zuri.Anaweza kufunga CCTV! jioni ana review wateja waliohudumiwa. Gharama wanagawana kwa vichwa
ni biashara ambayo ukipata location nzuri ina hela